Tuangalie maslai mapana ya taifa kinacho andikwa na mtoto wa rais pili ni mmbunge anaeingia bungeni!! Kupuuza kupo ila akiwa km kioo cha jamii hapaswi kuongea mambo hayo kwenye hadhara aonge ndani na mkewe ila hadharani kauli hizo hazijengi bali zinaanza kubomoa akili za watu ambazo nyerere...
Inawezekana akaja kuwepo rais mchaga kizazi chetu kikiwa hakipo!! Unanishangaza kumbe kadhambi ka ukabila kanakutembelea, tukianza kuangalia na kuchaguana kulingana na makabila tutaanza kuchinjana na nyerere aliikemea dhambi hii kwanguvu sana! Mungu ibariki tanzania na watanzani tuepushie hawa...
Ww ndie unaleta ukabila mbona wabongo mnapandikiza vitu ambavyo havipo km hipendi kitu acha kupandikiza mambo kwa watu tena vitu vibaya!!! Huo ni ujinga
Kila mtu maisha yake yako kwenye hatari naomba nikukumbushe, maslahi nahofia fisiem mmetumia pesa nyingi sana kwa kampeni mtazirudisha vp mkishindwa???
Sijui km unawasikiliza viongozi wa ccm na kauli zao juu lowasa!! Lowasa kajibu lipi??? Je?? Na ccm wameua wangapi tusio wajua??? Tusishabikie siasa za kuchafuana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.