Recent content by NDINADYO

  1. N

    David Kafulila,na Serikali Tatu

    kafulila umenena sisi wazalendo watanganyika tuko pamoja nawewe
  2. N

    David Kafulila,na Serikali Tatu

    kafuila tuko pamoja
  3. N

    David Kafulila,na Serikali Tatu

    Kafulila wewe nimiongoni mwa vijana wachache wanaojitambua. kuna watu wanaojifanya wanajua huku wakiwa hakui kama hawajui. mfano wabunge wote wabala kimsingi niwatanganyika lakini leo wanaukana utanganyika huu niusaliti tunaitaka tanganyika yetu
  4. N

    Tanganyika imerudi

    ndiyo irudi fasta
  5. N

    Nikisimama hadharani na kumwita Rais muongo,mnafiki na Mzandiki itakuwa ni kosa?

    bado mimi naamini hapa chini ya jua hakuna aliye mkamilifu abilia yeyote anayetembea hapa juu ya uso wa dunia bado naamini hajakamilika hata mkubwa naye si mkamilifu kama tulivyo wa2 wengine lakini wanasheria watatusaidia
  6. N

    Hali bado ni tete Mbeya: Magari ya kuwasha yananyunyizwa Mwanjelwa

    ubabe hautasaidi kuwalazimisha wafanya biashara wa mkoani mbeya wanunue hayo madude ya TRA kwalengo la kuwakomoa wafanyabiashara hao siyo haki kabisa kwa TRA mbeya kuwanyanyasa wafanyabiashara nawashauli makamanda wote hapo mbeya komaeni ili haki itendeke haki haiobwi haki inapiganiwa makamanda...
  7. N

    Viongozi na Wajumbe watano wa CHADEMA wakamatwa

    huwezi kuzuia maji kwa mchanga pia kila unapoyakaribia mafanikio lazima ukutane na vikwazo vingi makamanda tuko pamoja tumenza na Mungu tutamaliza na Mungu hawa wanao waweka ndani cku si nyingi watawapigia saruti
  8. N

    Tundu Lissu kumburuta Kinana mahakamani

    kamanda Lissu koma nao mpaka kieleweke. haya magamba yanajiona nchi hii nimali yao peke yao yanatumia nguvu nyingi kuliko akili kamanda waadabishe liwe fundisho kwamagaba nawapambe wao chezea Lissu wewe
  9. N

    Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

    haya nimajanga nikitazama tunakoelekea naona kuna giza nene sana Ee Mungu tusaidie yastupate majanga
Back
Top Bottom