Recent content by Ndimbo M

  1. Ndimbo M

    Wajue Wayahudi weusi wanaodhaniwa kimakosa kama wapiganaji waliokodiwa toka Afrika

    Ubaguzi dhidi ya wayahudi weusi upo...,unapigwa vita kwa nguvu lakini upo. Inawezekana ikawa walidhani hivyo. Lakini hata kama walidhani hivyo kwa nini waliamua kumuua bila kumpa nafasi ya kujitetea wakati Hamas walijua eneo la askari wa Israel lilipokuwa ..na ndilo lilishambuliwa kwanza na...
  2. Ndimbo M

    Wajue Wayahudi weusi wanaodhaniwa kimakosa kama wapiganaji waliokodiwa toka Afrika

    Israel ina utaratibu wa kuwashawishi na kuwafanya watu wote wenye nasaba ya kiyahudi walioko maeneo mbalimbali duniani kurudi nyumbani Israel. Moja ya masuala ambayo jamii ya Wayahudi wanajua kuyafuatilia na kuyashika ni kujua mtiririko wa historia yao na taratibu za imani yao. Moja ya sehemu...
  3. Ndimbo M

    Ieleweke: Tanzania haijapiga kura kuiunga mkono Palestina; imeunga mkono azimio kusitisha mapigano(humanitarian truce)

    Nilichokisema kinamaanisha kwamba Tanzania imeunga mkono azimio la umoja wa mataifa linalotaka nchi husika wasitishe mapigano kuwezesha misaada ya kibinadamu kwa wahanga. Sasa ukisema Tanzania imeumga mkono Palestina,tafsiri yake ni kwamba unaunga mkono madai na hoja zote za Palestina katika...
  4. Ndimbo M

    Ieleweke: Tanzania haijapiga kura kuiunga mkono Palestina; imeunga mkono azimio kusitisha mapigano(humanitarian truce)

    Watu wengi wamepotosha kwa kutokujua kuhusu kitendo cha Tanzania kupiga kura katika baraza la Umoja wa mataifa ijumaa iliyopita kuhusu mzozo baina ya Israel na Hamas/ Palestina. Nasema kupotisha bila kujua kwa vile kuna mmoja kwa mfano,jioni ya leo kafikia hatua ya kusema Tanzania imepiga kura...
  5. Ndimbo M

    LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na Hamas

    Watu wengi wanapojadili mzozo kati ya Israel na Palestina,wanajadili wakiwa tayari wamegeemea upande fulani kwa sababu wanazozijua wao,huku wakipuuzia ukweli ulivyokuwa nyakati za zamani na sasa. Kabla sijaeleza namna gani wahafidhina wanavyochochea mzozo kati yao,kwanza niainishe uhalisi...
  6. Ndimbo M

    Kwanini Mwalimu Nyerere aliwafukuza Waisrael akawaacha Wapalestina?

    Nyerere alisitisha uhusiano na Israel katika kutekeleza sera zake za kupinga ukandamizaji na uonevu wa binadamu wa aina yoyote ambao ungetokea mahali popote bila kujali rangi na itikadi. Kwa mtazamo na msimamo wake huo ndiyo uliomfanya aiunge mkono Palestina kwa hali na mali kwa gharama ya...
  7. Ndimbo M

    Face 2 Face with Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo: "Tunafanya Politics of Engagement kwa kuwa Pragmatic on What is Possible"

    Uko sahihi. Ni kwa vile tu ACT hawana uwezo na nguvu ya ushawishi Tanzania bara Mayala,iko hiv Mayala, haya masuala ya migongano(confrontations),mikutano,maandamano pamoja na majadiliano(engagements) ni sehemu ya mambo katika siasa...,na yote yanatumika kulingana na mazingira na wakati. Zitto...
  8. Ndimbo M

    Wanigeria na Wahindi wamefanikiwa sana kutambulisha utaifa wao kupitia mavazi

    Swali lenye mantiki hili. Kama kuvaa mavazi ya aina fulani kungekuwa kunaongeza kitu katika maendeleo kiuchumi,basi ingetulazimu kuvaa mavazi ya watu wa maeneo fulani ili twende nao sambamba kimaendeleo. Miaka ya sitini,sabini na themanini mwanzoni, wachina walitambulika zaidi kwa kuvaa suti...
  9. Ndimbo M

    Katika kukabili uhaba wa dola na mfumuko wa bei, tuanzie hapa

    Wadau, Nafikiri wengi tunakubaliana kwamba kukuza uchumi ni njia rahisi ya kuepuka tatizo la uhaba wa dollar na mfumuko wa bei unaoambatana nao. Hapa nitaeleza eneo moja la kisiasa kiutendaji lakini lenye athari kubwa sana kiuchumi kwa Tanzania...,eneo la viongozi wa mikoa. Kama ilivyokuwa...
  10. Ndimbo M

    Serikali: Iweje mtoe elimu Katiba iliyopitwa na wakati?

    Tume ya Warioba hiyo ya 2013 haikupewa kazi ya kuwaelimisha watu ili waielewe katiba ya sasa,..yenyewe ilikuwa na kazi moja tu,kukusanya maoni ya wananchi kuhusu aina ya katiba wanayoitaka....,mathalan,tume ilisikiliza maoni ya watu kuhusu muundo wa muungano waliouhitaji kati ya muundo wa...
  11. Ndimbo M

    Serikali: Iweje mtoe elimu Katiba iliyopitwa na wakati?

    Naunga mkono hoja yako 100%...kwamba Naunga mkono hoja yako kwa 100%.... Kimsingi,si serikali ya mkoloni wala hii ya sasa...zote hazijawahi kuruhusu wananchi wajitengenezee katiba inayotakona na mawazo na utashi wao. Kwa serikali ya kikoloni kutoruhusu katiba....ni suala linaloeleweka kwa...
  12. Ndimbo M

    Sura ya ushirika wa DP World na TPA katika mtazamo mwingine

    Wakati serikali imesema inaingia hatua ya pili ya mkataba katika uwekezaji bandarini Dar kati yake na DP world,ningependa watu wote bila kujali kama mnaunga mkono au kupinga maudhui ya mkataba, msome kwa umakini haya nitakayoyaandika hapa chini, mpime katika mizani ya bongo zenu,kisha mseme...
  13. Ndimbo M

    Muhimu sana: Tusome na kujadili kuhusu bandari na DP World kwa namna nyingine

    Wakati serikali imesema inaingia hatua ya pili ya mkataba katika uwekezaji bandarini Dar kati yake na DP world,ningependa watu wote bila kujali kama mnaunga mkono au kupinga maudhui ya mkataba, msome kwa umakini haya nitakayoyaandika hapa chini, mpime katika mizani ya bongo zenu,kisha mseme...
Back
Top Bottom