Recent content by Ndikinho Jr

  1. N

    Nataka kwenda Matema Kyela, barabara zake zinapitika?

    Bado hali ni tete mvua bado zinanyesha.
  2. N

    Reginald Mengi ajitoa rasmi kwa Lowassa

    We binti kaolewe na lumumba tu acha kuropoka hv huoni kama unajidhalilisha utu wako miaka 50 sema una nn cha kujivunia unatumika kama tambala la deki humu ndani wamo wenye akili timamu siyo kama ww jiangalie sana MAGUFULI Vs JIWE watu wanachahua JIWE kuliko bwana zako wa lumumba.
  3. N

    Maelfu wampokea Magufuli na kuhutubia Tunduma

    Hakuna jipya wote wametoka vijijini hasa vwawa kulikuwa hakuna watu sana ongeeni ukweli mwaka huu hakuna pakutokea.
  4. N

    Uhakiki wa kitambulisho cha kupiga kura kupitia mitandao ni sahihi?

    Aise hilo tatizo limewakuta wengi mwenye kujua ratiba ya uhakiki atupie JF basi watu wachinje oct 25
  5. N

    Mbeya wahoji uadilifu viongozi wa UKAWA

    Kijana akili yako ya kizee ndo maana unawaza pumba.
  6. N

    Mtunzi na muhamasishaji wa nyimbo za CHADEMA, ahamia ACT - Wazalendo

    Sasa hapo ni nyumbani kwake zzt au?
  7. N

    Watoto wa Kambo wa Diamond Platnumz

    Aise ana vidume vya ukweli.
  8. N

    UKAWA vs CCM katika urais, piga Kura hapa

    Kura yangu UKAWA.
  9. N

    Lowassa na Majibu ya Hasira kwa Swali la Msingi

    Mleta maada umetumwa ushindi uko pale pale.
  10. N

    Rais:Agustino Ramadhan Makamu:Lowassa

    Kijana hajitambui.
  11. N

    Fred Mpendazoe kugombea ubunge Kishapu

    Limeshaonekana kitendo cha kuonesha nia inatosha.
  12. N

    Umeme umekatika nchi nzima?

    Acha uongo mbeya upo may be kwenu luku kwishine.
  13. N

    Majibu ya Mnyika kwa Zitto ya Ubunge Ubungo 2010

    Vijana mkishiba magimbi mnalopoka tu zitto ana nn alishakwisha zamani hamuna cha kufanya.
Back
Top Bottom