Mkuu soma vzr na uelewe ipo hv, hezbolla walinunua hzo pagers na kuwapa wafuasi wake watumie na sio wananchi wa kawaida. So waliokufa na kujeruhiwa ni wana kundi la hizzibolla unless mwana kikundi awe amekaacha home watoto wanakatumia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.