Recent content by ndiefi

  1. N

    Tatizo la gari kutetemeka kwenye speed likifika speed ya 70kph hadi 80kph

    Mwamba upo sawa kbs lkn pia hata tairi inaweza kuwa shida
  2. N

    Shambulio linalosadikiwa kufanywa na Israel dhidi ya Hezbullah kwa kupitia PAGERS lathibitisha akili kubwa ya Myahudi

    Mkuu soma vzr na uelewe ipo hv, hezbolla walinunua hzo pagers na kuwapa wafuasi wake watumie na sio wananchi wa kawaida. So waliokufa na kujeruhiwa ni wana kundi la hizzibolla unless mwana kikundi awe amekaacha home watoto wanakatumia
  3. N

    Somo tunalolipata kutoka kwa taifa la Israel. Mwanaume hapigwi na mkewe, ikitokea, ni mwanaume kaogopa jela tu

    Na nyie hao hizbollah na hamas waambie wasimame kama wao wasisaidiwe na Iran alafu ndio tujue nani ni nani
  4. N

    Pesa ina kaujeuri fulani hivi

    Najua unawaza ada tena inatakiwa hapo
  5. N

    Utabiri: Huenda siku za Putin zinakaribia ukingoni

    Is that only you know bro??? I request you to read more about rules and regulations of using Nuclear
  6. N

    Harusi yageuka msiba baada ya fumanizi

    Fara sana wewe Nawanda ameingiaje hapa kwenye maelezo
  7. N

    Mwanamke wa mkoani kaniingiza mjini, naomba msaada wenu

    Kijana naona utoto bado unao mwingi, siku ukiwa na majukumu nahis utapunguza kujisifu
  8. N

    Nimetembea mikoa mingi Tanzania nimegundua kuwa Dodoma kuna nyoka wengi hatari kuliko mikoa yote Tanzania

    Hizo aina zote unazozisema zinapatikana Tabora, karibu kwetu Tabora napo ujifunze ndio utajua huku ndio genesis ya hao wadudu
  9. N

    Marekani wajaribu Hypersonic weapons successfully

    Duh hii kamba ya dunia gani kaka
  10. N

    Dkt. Yahaya Nawanda apandishwa Kizimbani kwa Tuhuma za Ulawiti, aachiwa kwa dhamana

    Hii kesi najua mwisho wake Dkt Nawanda atashinda ila amechafuliwa mno.
Back
Top Bottom