hivi mimi nashindwa kuwaelewa wasichana hivi kwanini mtu usijiweke kuwa mtu wa maana(wife material) unakuta mtu msichana mzuri kwa umbo lakini jinsi anavyo jiweka, mavazi yake ya ajabu, miinendo yake ya ajabu sio decent kabisa,
sasa apo unakuata ntu anavutiwa na wewe kwa uzuri wako lakini...
you are real great thinker. We waache wapigew kelele we wasijishughulishe na kusoma na kufanya kazi waendelee kuwategemea wanaume halafu wategemee kuondokana na mfumo dume
we unasema lema ndokasbabisha mwanafunzi afe wakati mwanafunzi kafa wakati lema akiwa hayupo. lema kaitwa kaja katumia nguvu nyingi na aushawishi kuwatuliza wanafunzi wakatulia kaja huyo mkuu wa mkoa akaanza kuongea mbovuy akazomewa sasa lema kausika vipi.
wewe ndo wale mnaolipwa 10000 na...
kweli kikweti anajua kuwa ni bora ampe slaa uraisi kuliko lissu kuendelea kuwepo bumgeni, lissu kichwa cha sheria kinacho toa point hadi AG kafyata mkia.
bora dada yaqngu umempa ukweli huyo malaya maana ni mpuuzin na limbukeni ambaye elimu yake haijamsadia, we utaanzishaje mapenzi na mme wa mtu na kungangania kutomuacha badala ya kutafuta wako uwe na familia yako
kweli walisema utuuzima dawa, hongera mwinyi kwa busara zako. tatizo la haya maviongozi ya sasa hivi busara hayana yanachojua ni kuwa mafisadi kufisadi mali za huma hayajali hata kutafutia suluhu ya mambo sentive kwenye taifa na hayajali kama amani itatoweka kwani wao watakimbilia nje ya nchi...
ni kawaida siku mpenzi wa kwanza wa mtu ananguvu sana hata kama mtu huyo ameoa au kuolewa still bado anapata wakati mgumu mno wa kumsahau mpenzi wa kwanza hivyo ndio maana ni rahisi sana mtu huyo kuisaliti ndoa yake. lakini hii inatokana na kuwa mtu anayetoa bikira yako spiritually huwa kuna...
sasa mwigulu nchemba hayo mawasiliano na ludovick mtuhumiwa wa ugaidi yalikuwa ya nini? na hizo alizomtumia ni za nini? hayo maswali ya kujiuliza na siyo kuropoka tu bila kujadili hoja
sasa hivi hakuna usalama wa taifa bali usalama wa ccm, ccm wameona maji yanawafika shingoni sas wamebaki kutumia usalama wa taifa kisiasa ili kuwawezesha wao kubaki madarakani lakini nauhakika hawata weza kwani muda umewadia wa ccm kufa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.