Recent content by Ndeyanka_Mwenyewe

  1. Ndeyanka_Mwenyewe

    KERO Responded RPC Arusha, tatua hii kero ya kuomba hela inayoshamiri kwa Trafiki

    RPC Arusha tunaomba ingilia hili suala la traffic Police Arusha wamekuwa ni kero kusimamisha magari na kuomba hela. Inakuwa kama hela ni haki yao uwe na kosa ama huna kosa. Arusha ni mji mdogo unaweza simamishwa mara tatu katika safari moja kila kona traffic wapo na wote wataomba hela. Hii ni...
  2. Ndeyanka_Mwenyewe

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kivipi kwenye mechi za majaribio? mpeni muda aelewane na timu na mfumo wa timu. Alikotoka walikuwa wanacheza counter attacking football hapa ni gegen press. Alivyo kuja Fabinho, Robbo walichukua muda sasa je
  3. Ndeyanka_Mwenyewe

    Mrisho Gambo: Royal Tour imeleta mafuriko ya Watalii Hotel zote za Arusha zimejaa hadi mwezi Disemba!

    Kweli wageni ni wengi lakini sio Royal tour film wengi ni wageni walio cancel bookings zao 2020/21 sasa wame rebook. Royal tour faida zake zitaonekana lakini sio mwaka huu au mwaka kesho.
  4. Ndeyanka_Mwenyewe

    Bila kutaja miaka yako, tuambie una umri gani

    Sinema nilizoona - Your ticket is no longer valid, war bus, three the hardway,Qurubani (mind spelling) Sholay
  5. Ndeyanka_Mwenyewe

    KISUTU: Jamhuri kuleta mashahidi 24, vielelezo 19 kesi ya Mbowe na wenzake

    Hili la kukata miti misukubaliani nalo 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
  6. Ndeyanka_Mwenyewe

    Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene, tochi za barabarani zimeanza kuwa kero tena

    Tatizo hawa traffic police wamehalalisha kazi yao kuwa ndio namna ya kupata hela ya ziada yaani kamradi ka pembeni. Hapa Arusha atakusimamisha akukague tyre,fire extinguishers, triangle brake lights na plate numbers light anakuta vyote sawa hapo sasa ooh naombahela ya kula pumbavu zao
  7. Ndeyanka_Mwenyewe

    ITV News Uingereza yaeleza hali ya Corona Tanzania

    Covid 19 kweli ipo na variant zinazo ongelewa ni UK, SA na Brazil hii ya Tanzania nadhani SA wanataka kutupakazia propaganda tu.
  8. Ndeyanka_Mwenyewe

    Uingereza: Chris Whitty asema hakuna haja ya lockdown, wataishi na Corona kama mafua

    Lockdown ipo pale pale sisi tupambane na hali zetu huku tukijikinga.
  9. Ndeyanka_Mwenyewe

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Tanesco umeme utarudi saa ngapi Sakina Kwa Idd
Back
Top Bottom