Twende mbele turudi nyuma hakuna mwenye chuki na kondeboi coz tamasha lake likiwa kubwa hadi uko kwa wenzetu waka appreciate hio ni sifa kubwa kwa taifa ila, tatizo konde ana mamb meng na yote anataka kuyafanya kwa mmoja mfano ndan huu mwez kamsain skales na bado ibra anahitaj promo na wakat huo...
Sema nyie wanafiki kweli yan kuna wakat nikiangalia thread za kumpa lissu moyo wa kuwa rais huwa nacheka sana nyie mpo kalibia kumi na mpo mtandaoni na kmbuka kuna mamilion ya watu uko vijijin wana mkubali mr magu kama mm so mnajisumbua sana
100% umeongea fact kubwa me nashangaa hili swala share kwa diamond limekua tatizo lina waumizia watu vichwa.mbn mengi alikuwa shareholder Wa coca cola lakin they don't talk
Ndugu zangu katika bwana natumai mu wazima,kama kichwa kinavyo jieleza nipo karibu na mgodi Wa acacia gold mining sasa kuna fursa za vijana zimetolewa kwa mwenye wazo la kampuni atapewa support financial so mimi hadi sasa sijapata wazo la kampuni naomba msaada wenu.
Guys naomba leo tuondoe utata kuhusu hizi show mbili ni show gan Kali kwa sasa Tanzania maana kila nikiwasikiliza wote wanapondeana.
Je, nani mkweli kwenu?
Mm niliposikiliza nimegundua vitu hivi
1-wasanii wanaobaniwa hawana tatizo direct na kusaga Bali watu Wa chini ya kusaga
2-adam hampend diamond
3-anapenda watanzania waamini kuwa kile kituo mmiliki co chibu cjui akijua atafaidika nn
3-yupo emotional sana na vitu visivyo na maana.mfano issue ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.