Recent content by Ndera

  1. Ndera

    Friji inaweza kuwa chanzo cha mapato kwa mke nyumbani?

    Ndio Mkuu, tuko jirani sana na bahari. Unaonaje nikichukua friza badala ya friji ambalo ni la kawaida lenye freezer na sehemu ya kupooza yaani (friji)
  2. Ndera

    Friji inaweza kuwa chanzo cha mapato kwa mke nyumbani?

    Nakushukuru sana Mkuu, tayari nimemnunulia brenda aina ya Philips mpya 800W, na hii brenda ndio imempa sana hamasa na hii biashara aliamua kubuni maana huhitaji wa bidhaa hizo hasa barafu ni mkubwa sana na sikuweza kufikiria hilo kwa kuwa friji nilalotumia ni la kupooza tu.
  3. Ndera

    Friji inaweza kuwa chanzo cha mapato kwa mke nyumbani?

    Wakuu, nimejibana nimepata shilingi 1million mke wangu amenishauri nimemnunulie friji kuanzia laki 5-8 pesa itakayo baki laki 2 afanye kama mtaji wa kuuza barafu, Ice cream na juice. Naomba ushauri wenu je hii biashara inaweza inaweza zaa matunda na kurudisha hiyo pesa? Natanguliza shukrani.
  4. Ndera

    Nampenda sana na inanitesa sana

    Kuwa mpole jifanye kama hata humuwazii anajaribu kukupima na akigundua udhaifu wako atakutesa sana, Mkuu. Bora yangu mm nilishazoea ma barmedi sitaki pressure mie!
  5. Ndera

    Tahadhari: Hivi wanaume mnaopenda kuzama chumvini mnayafahamu haya madhara?

    Hata kama mm siachi kuzama huko chumvini!
  6. Ndera

    I wish I had a husband already

    Wanawake ni wengi kuliko wanaume. Take care! Endelea kuwadharau wao wafupi tuone kama hujafika 30yrs...........
  7. Ndera

    Ubabe wa mshana Jr. juu ya wanawake wa hapa Jf

    Aiseeh! ujumbe wako umepokelewa.
  8. Ndera

    Simu zinauzwa bei ya kutupa

    Bado zipo?
  9. Ndera

    Hiki ndiyo Kipimo pekee cha Kumjua Mtu ni Mwerevu / Kipanga au siyo!

    Nimekuelewa sana, Mkuu. Endelea kufanya na kutuletea majibu ya tafiti mbalimbali.
  10. Ndera

    After MO Dewji who'll be next?

    Answer loading.........................
  11. Ndera

    RC Makonda, mambo ya kipolisi waachie polisi, ya kusema waachie wasemaji

    Hii movie tu. Sijui tunasaulishwa kitu gani?
Back
Top Bottom