Nakushukuru sana Mkuu, tayari nimemnunulia brenda aina ya Philips mpya 800W, na hii brenda ndio imempa sana hamasa na hii biashara aliamua kubuni maana huhitaji wa bidhaa hizo hasa barafu ni mkubwa sana na sikuweza kufikiria hilo kwa kuwa friji nilalotumia ni la kupooza tu.
Wakuu, nimejibana nimepata shilingi 1million mke wangu amenishauri nimemnunulie friji kuanzia laki 5-8 pesa itakayo baki laki 2 afanye kama mtaji wa kuuza barafu, Ice cream na juice. Naomba ushauri wenu je hii biashara inaweza inaweza zaa matunda na kurudisha hiyo pesa? Natanguliza shukrani.
Kuwa mpole jifanye kama hata humuwazii anajaribu kukupima na akigundua udhaifu wako atakutesa sana, Mkuu.
Bora yangu mm nilishazoea ma barmedi sitaki pressure mie!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.