I just hope you CHADEMA/UKAWA leaders know what you are doing because otherwise, and unfortenately it seems it is this otherwise, you have yourself to blem when you kill this strong movement and we wont forgive you for this.
It doesnt make sense at all with your attemts to clear the air you end...
Nikukosoe kidogo. Kwa taarifa yako uaskofu ni zaidi ya ukadinali. Na pia hakuna kiongozi wa kanisa katoliki wa nchi (yoyote ile si Tanzania tu) bali kuna kiongozi wa jimbo, naye ni askofu na si vinginevyo. Kwa hiyo kiutawala wa kanisa Katoliki Pengo na Ngalalekumtwa ni sawa (wote ni maaskofu...
Mbona CUf mnakuwa defensive namna hiyo? Makubaliano ya UKAWA yanakiuka haki ya mtu ya kikatiba ya maoni? Sidhani. Kafulila made it clear kwamba yale yalikuwa maoni yake binafsi. Haya, unamuonya kwa kosa lipi hapa? Au kwa kuwa CUF wamesema?
Kuhusu utafiti wa Twaweza, nakumbuka hata Dr. Slaa...
Kwa hiyo Zitto ni gamba japo si pure kama Shonza na wenzake? Suala hapa hatutaki gamba lolote hata kama ni pure au si pure. Walishakula nyama ya mtu hawa. Kwani lazima afanyie siasa CHADEMA?
Yes. Kama ambapo rais akimteua waziri ambaye wewe Simiyu Yetu unamuita (Nagu) ni mjinga. Maana yake aliyemteua nae ni ...... Malizia kama we ni exception katika hilo.
Mwl. Nyerere alisema kama masihara lakini naanza kuona ukweli wake ya kwamba kuna dhambi nyingine mtu akizitenda haachi, na kama kula nyama ya mtu, huwezi kuacha. Dhambi ya usaliti inaendelea kuwafuata wasaliti. Kina Mwigamba Kitila wameshawajibishwa tena na chama chao kwa makosa yale yale...
Kweli ccm vichwa maji! Linatoka kukumbushwa hoja iliyoko mezjni kuwa ni mawaziri wa Jakaya kutofautiana hadharani linajibu utumbo ule ule, eti Nagu ni waziri mjinga. Ni waziri wa ccm na kateuliwa na boss wako. Technically unatuambije kuhusu boss aliyemteua mjinga, achilia mbali mwanachama wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.