Hoja ya kumpokea Lowassa CHADEMA iwekwe kando

Hoja ya kumpokea Lowassa CHADEMA iwekwe kando

Kama Lowassa angepitishwa kugembea urais kupitia CCM, hoja kubwa ya CDM na UKAWA wakati wa kampeni ingekuwa ni ufisadi ndani ya CCM wakimhushisha moja kwa moja Lowassa na ufisadi huo. Ilikuwa ni moja ya sababu ya CCM kutompitisha Edward Lowassa.

Haingii akilini viongozi hao hao wa CDM wampokee Lowassa huyo huyo. Inaweza kuwa njia rahisi ya CCM kuonyesha unafiki wa viongozi wa CDM wakati wa kampeni na kufanya mgombea wao kupita kirahisi.

Kibaya zaidi, kumpokea Lowassa ndani ya CDM kutaleta majeraha ndani ya chama kiasi kwamba watu watapoteza imani kabisa. Mnufaika pekee wa Lowassa kupokelewa CDM atakuwa Zitto Kabwe na ACT.
Kuna mambo umekuja kuyajuwa ukubwani ndio maana unapata shida!!!
Mulize kinana faida ya lowassa kwa chadema ni nini!!
 
Mimenusa hisia na joto la wengi kuhusu hoja ya kumkaribisha Lowasa CHADEMA - Madhara yake ni makubwa kuliko viongozi wanavyodhania. Huu ndio ukweli wenyewe:

Hata kama Lowasa angepitishwa kuwa mgombea wa CCM, bado UKAWA wangefanya vizuri maana wananchi wanakiu ya mabadiliko.

Kitendo cha Kumpitisha Magufuli kimefanya kazi ya kuichachafya CCM kuwa nyepesi zaidi maana wafuasi wa Lowasa wengine bado ungekuwa mtaji wa UKAWA hata bila kumuingiza Lowasa katika kundi la UKAWA.

Kumkaribisha Lowasa na kundi lake ni Ku-bland UKAWA, haitauwa UKAWA tena maana wanaokuja na Lowasa ni waliopitisha KATIBA mbovu, vita yetu tutakuwa tumeipoteza kwa kujisalimisha kwa adui kia aina.

Lowasa na Kundi lake ni kama mbwa mwitu. watakao baki salama ni CCM maana wao magamba yatakuwa yamevuka, yamevaliwa na CHADEMA. Chadema yenye Rostam Azizi, Karamagi, Kingunge, Lowasa, n.k siioni kama CHADEMA ya kuleta nafuu kwa walalahoi. itakuwa ni Muungano wa CCM na CHADEMA, hapo itikadi na harakati zinatakiwa zibadilike, wananchi hatukuunga nkono CHADEMA mfanye hayo.

Hii agenda ya kumpokea Lowasa mmeitoa wapi? Mbona Wabunge wa upinzani wachache waliokuwa bungeni ndio wameshawishi watu wengi kuiunga mkono kwa sababu ya hoja zao? kwani nilini Lowasa alisimama bungeni akatoa hoja ya kueleweka? Lowasa anamtazamo gani kuhusu katiba Mpya?, kuhusu ufisadi?, kuhusu muundo wa muungano? atanadi vipi ilani ya uchaguzi asiyoiamini? au kunanini hasa la ziada?

Lowasa na kundi lake wakiingia CHADEMA, wengi tutatoka CHADEMA na iko siku viongozi wote mtajikuta mnatakiwa kutoka nje ya CHAMA kwa njia ya nguvu ya vikao na katiba ya chama halafu wanabaki wao. Huu utaratibu wa mtandao hawatauacha utawatafuna nyie mnao wakaribisha watu hawa. Itakuwa kama MREMA na TLP na Ngawaiya.

Nguvu ya CHADEMA kwa sasa ni kubwa, achana na agenda ya LOWASA kuja CHADEMA, tuletee ngombea wetu asiye sehemu ya watu wa LOWASA, sisi tumeisha jiandikisha, na tunasubiri masanduku ya kupiga kura. CHADEMA bila LOWASA inawezekana. MBOWE, anayekushauri ati utapata mtaji wa watu anakuongopea. wao kama wamechukia si watupigie kura tu, unatosha. usichafue chama. Hoja yetu kwa muda mrefu ni kwamba CCM ni mafisadi, akina LOWASA, ROSTAM AZIZI, KALAMAGI, sasa wamekuwa wasafi lini? yaani kukatwa kwa LOAWASA kumewasugua na kuwasafisha??? acha mzaha, sisi tuko serious na ukombozi wa nchi hii. Bora kukosa URAIS tukawa na wabunge wengi kuliko kuwa na LOWASA kama mgombea URAIS kwa CHADEMA.

Siku moja mtakumbuka maneno yangu.

Mkuu kwa taarifa tu kwa kikosi kazi kilichopo ukawa ni makini, tena makini sana walishafanya actuarial valuation na analysis za kutosha na kuona side effect ni ndogo sana na aina mashiko.. hapa nikimanisha nia,malengo na dhamira ya ukawa ni kushirikiana na kudeploy human capital zilizopo kushika hatamu ya kuongoza tz na kuletea maendeleo watanzania hyo mengine maccm wanayowaza ni hoja dhaifu sana kwa hyo tupa kule. Lowasa is the master and King of Tz political atmosphere. kama syo lowasa kikwete asingekuwa kitu.
 
Mbowe na Mtei wameshatia kibindoni bilioni 10 hakuna ujanja tena mkabidhini lowassa chama chake.
 
Mkuu Papa1 nakuunga mkono sana.
Kweli hata mi nimesema mara nyingi siungi mkono Lowasa apeperushe bendera ya vyama vinavyounda UKAWA. Anaweza kujiunga na mojawapo ya vyama hivyo au kingine anachotaka kama mwanachama wa kawaida.
Ukweli mi nahisi Lowasa akipewa nafasi ya kupeperusha bendera ya Chadema chini ya mwavuli wa UKAWA, mwisho wa Chadema yenyewe utakuwa karibu kuliko tunavyofikiria. Matumaini ya ukombozi yatakuwa yamefika tamati.
Mafisadi wote wenye uchu wa kurudisha hela zao walizotumia walipokuwa wakimkampenia CCM wanaingia kwenye chungu. Nini kitabaki.
Naomba Mungu atuepushe na hili janga linaloinyemelea kuiangusha Chadema chama tulichokiamini kutukomboa.
Ni hayo tu
 

Nahisi dalili zote za michezo michafu!
Mheshimiwa Lowassa na viongozi wote mashuhuri waongezewe ulinzi maradufu, maana kwa hila za watu kutapia ikulu lolote laweza kutokea na kutuvurugia amani nchini!
 
Sidhani kama Lowassa ni mjingaa kiasi hicho kuhamia chadema. CCM watamshughulikiaaaa balaaa wakimpelekea TRA, watakata matumizi yake yoteeee ya uwaziri mkuu, matibabu yk ya Germany siyo mchezo kilaaaa kituu analipiwa na serikali. Sidhani anaweza to risk that much siyo mwehuuu Lowassa
 
Jina la Lowassa limekuwa gumzo mno, mwaacheni mzee wa watu japo apumue. Kwa taarifa yenu Lowassa atabakia kuwa mwanachama wa CCM. Kwa sasa anajiandaa kusimama imara kumsupot Magufuli. UKAWA yapasa kujipanga sawasawa, ya nini kuchoshwa na maneno ANAKATWA, ANAHAMA...focus iwe mapinduzi ya KWELI, tuachane na UBINAFSI, UMIMI na KUJIONA KUWA MIMI NDIO BORA NDANI YA CHAMA AU UKAWA...Mapinduzi yasigeuzwe kuwa ni kwa personal interest bali kwa maslahi ya watazania.
 
Lengo ni kuitoa ccm kwanza by any means legal or ilegal
 
Mkuu Papa1 nakuunga mkono sana.
Kweli hata mi nimesema mara nyingi siungi mkono Lowas seea apeperushe bendera ya vyama vinavyounda UKAWA. Anaweza kujiunga na mojawapo ya vyama hivyo au kingine anachotaka kama mwanachama wa kawaida.
Ukweli mi nahisi Lowasa akipewa nafasi ya kupeperusha bendera ya Chadema chini ya mwavuli wa UKAWA, mwisho wa Chadema yenyewe utakuwa karibu kuliko tunavyofikiria. Matumaini ya ukombozi yatakuwa yamefika tamati.
Mafisadi wote wenye uchu wa kurudisha hela zao walizotumia walipokuwa wakimkampenia CCM wanaingia kwenye chungu. Nini kitabaki.
Naomba Mungu atuepushe na hili janga linaloinyemelea kuiangusha Chadema chama tulichokiamini kutukomboa.
Ni hayo tu
Ndivyo ilivyo, si rahisi wote wakaunga mkono jambo Fulani, na hata huko CCM si wote wanaunga mkono uteuzi wa John P.J. Magufuli kupeperusha bendera ya CCM ktk uchaguzi mkuu huu!

Lakini je, kwa kuwa wachache hawakubaliani na wengi pamoja na hoja zao nzuri (labda) utaratibu wa chama usimame?

Nadhani jibu, ni hapana.......lazima mambo yaende kushindwa na kushinda ni mbele kwa mbele lakini lengo ni kushinda!"
 
Hadi kufikia muda huu EL ametuhumiwa kuwa katika kundi la mafisadi kutoka pande zote mbili za CCM na vyama vya upinzani.Kundi lililomshikia bango kwa miaka yote tangu ajiuzuru uwaziri mkuu ni wapinzani.Wamekiri kuwa wanayajua maovu aliyoyafanya ndani ya serikali na chama chake kinachotawala.Zaidi ya kukatwa kwenye orodha ya watiania wa uraisi kupitia CCM, Tuhuma juu yake bado hazijachunguzwa na kufanyiwa maamuzi,Kwa hali hiyo EL nafasi yake ni kwenye vyombo vya sheria ili achunguzwe hizo tuhuma zake na kuhukumiwa na SIYO kupokelewa na upinzani.Kumpokea EL hata kama hatagombea nafasi yoyote kwenye vyama vya upinzani zaidi ya kuwa mwanachama tu, itakuwa ni udhaifu kwa vyama vya upinzani na zaidi sana UNAFIKI uliokithiri ambao chanzo chake ni CCM. Mimi sina chama ninachokishabikia zaidi ya kuiona Tanzania katika nafasi yake kiustawi inayokosekana kutokana na kukosa uongozi imara na makini.Matokeo ya maamuzi ya vyama vya upinzani sasa ni October,wakikubali kuyumbishwa na msala upitao wasilalamike tena kuwa kulikuwa na uchakachuaji matokeo.
 
Mimenusa hisia na joto la wengi kuhusu hoja ya kumkaribisha Lowasa CHADEMA - Madhara yake ni makubwa kuliko viongozi wanavyodhania. Huu ndio ukweli wenyewe:

Hata kama Lowasa angepitishwa kuwa mgombea wa CCM, bado UKAWA wangefanya vizuri maana wananchi wanakiu ya mabadiliko.

Kitendo cha Kumpitisha Magufuli kimefanya kazi ya kuichachafya CCM kuwa nyepesi zaidi maana wafuasi wa Lowasa wengine bado ungekuwa mtaji wa UKAWA hata bila kumuingiza Lowasa katika kundi la UKAWA.

Kaka ulichokisema sina cha kuongeza wala kupunguza hata kama ni nukta tu. Umenena mwawazo yangu na naamini ni mawazo ya wengi tunaotaka mabadiliko ya kweli. Mbowe should know this!
 
Mimenusa hisia na joto la wengi kuhusu hoja ya kumkaribisha Lowasa CHADEMA - Madhara yake ni makubwa kuliko viongozi wanavyodhania. Huu ndio ukweli wenyewe:

Hata kama Lowasa angepitishwa kuwa mgombea wa CCM, bado UKAWA wangefanya vizuri maana wananchi wanakiu ya mabadiliko.

Kitendo cha Kumpitisha Magufuli kimefanya kazi ya kuichachafya CCM kuwa nyepesi zaidi maana wafuasi wa Lowasa wengine bado ungekuwa mtaji wa UKAWA hata bila kumuingiza Lowasa katika kundi la UKAWA.

Kumkaribisha Lowasa na kundi lake ni Ku-bland UKAWA, haitauwa UKAWA tena maana wanaokuja na Lowasa ni waliopitisha KATIBA mbovu, vita yetu tutakuwa tumeipoteza kwa kujisalimisha kwa adui kia aina.

Lowasa na Kundi lake ni kama mbwa mwitu. watakao baki salama ni CCM maana wao magamba yatakuwa yamevuka, yamevaliwa na CHADEMA. Chadema yenye Rostam Azizi, Karamagi, Kingunge, Lowasa, n.k siioni kama CHADEMA ya kuleta nafuu kwa walalahoi. itakuwa ni Muungano wa CCM na CHADEMA, hapo itikadi na harakati zinatakiwa zibadilike, wananchi hatukuunga nkono CHADEMA mfanye hayo.

Hii agenda ya kumpokea Lowasa mmeitoa wapi? Mbona Wabunge wa upinzani wachache waliokuwa bungeni ndio wameshawishi watu wengi kuiunga mkono kwa sababu ya hoja zao? kwani nilini Lowasa alisimama bungeni akatoa hoja ya kueleweka? Lowasa anamtazamo gani kuhusu katiba Mpya?, kuhusu ufisadi?, kuhusu muundo wa muungano? atanadi vipi ilani ya uchaguzi asiyoiamini? au kunanini hasa la ziada?

Lowasa na kundi lake wakiingia CHADEMA, wengi tutatoka CHADEMA na iko siku viongozi wote mtajikuta mnatakiwa kutoka nje ya CHAMA kwa njia ya nguvu ya vikao na katiba ya chama halafu wanabaki wao. Huu utaratibu wa mtandao hawatauacha utawatafuna nyie mnao wakaribisha watu hawa. Itakuwa kama MREMA na TLP na Ngawaiya.

Nguvu ya CHADEMA kwa sasa ni kubwa, achana na agenda ya LOWASA kuja CHADEMA, tuletee ngombea wetu asiye sehemu ya watu wa LOWASA, sisi tumeisha jiandikisha, na tunasubiri masanduku ya kupiga kura. CHADEMA bila LOWASA inawezekana. MBOWE, anayekushauri ati utapata mtaji wa watu anakuongopea. wao kama wamechukia si watupigie kura tu, unatosha. usichafue chama. Hoja yetu kwa muda mrefu ni kwamba CCM ni mafisadi, akina LOWASA, ROSTAM AZIZI, KALAMAGI, sasa wamekuwa wasafi lini? yaani kukatwa kwa LOAWASA kumewasugua na kuwasafisha??? acha mzaha, sisi tuko serious na ukombozi wa nchi hii. Bora kukosa URAIS tukawa na wabunge wengi kuliko kuwa na LOWASA kama mgombea URAIS kwa CHADEMA.

Siku moja mtakumbuka maneno yangu.

naunga mkono hoja,Ukawa wakimleta Mimi Jina langu Bali,narudisha kadi ya chadema
 
Mimenusa hisia na joto la wengi kuhusu hoja ya kumkaribisha Lowasa CHADEMA - Madhara yake ni makubwa kuliko viongozi wanavyodhania. Huu ndio ukweli wenyewe:

Hata kama Lowasa angepitishwa kuwa mgombea wa CCM, bado UKAWA wangefanya vizuri maana wananchi wanakiu ya mabadiliko.

Kitendo cha Kumpitisha Magufuli kimefanya kazi ya kuichachafya CCM kuwa nyepesi zaidi maana wafuasi wa Lowasa wengine bado ungekuwa mtaji wa UKAWA hata bila kumuingiza Lowasa katika kundi la UKAWA.

Kumkaribisha Lowasa na kundi lake ni Ku-bland UKAWA, haitauwa UKAWA tena maana wanaokuja na Lowasa ni waliopitisha KATIBA mbovu, vita yetu tutakuwa tumeipoteza kwa kujisalimisha kwa adui kia aina.

Lowasa na Kundi lake ni kama mbwa mwitu. watakao baki salama ni CCM maana wao magamba yatakuwa yamevuka, yamevaliwa na CHADEMA. Chadema yenye Rostam Azizi, Karamagi, Kingunge, Lowasa, n.k siioni kama CHADEMA ya kuleta nafuu kwa walalahoi. itakuwa ni Muungano wa CCM na CHADEMA, hapo itikadi na harakati zinatakiwa zibadilike, wananchi hatukuunga nkono CHADEMA mfanye hayo.

Hii agenda ya kumpokea Lowasa mmeitoa wapi? Mbona Wabunge wa upinzani wachache waliokuwa bungeni ndio wameshawishi watu wengi kuiunga mkono kwa sababu ya hoja zao? kwani nilini Lowasa alisimama bungeni akatoa hoja ya kueleweka? Lowasa anamtazamo gani kuhusu katiba Mpya?, kuhusu ufisadi?, kuhusu muundo wa muungano? atanadi vipi ilani ya uchaguzi asiyoiamini? au kunanini hasa la ziada?

Lowasa na kundi lake wakiingia CHADEMA, wengi tutatoka CHADEMA na iko siku viongozi wote mtajikuta mnatakiwa kutoka nje ya CHAMA kwa njia ya nguvu ya vikao na katiba ya chama halafu wanabaki wao. Huu utaratibu wa mtandao hawatauacha utawatafuna nyie mnao wakaribisha watu hawa. Itakuwa kama MREMA na TLP na Ngawaiya.

Nguvu ya CHADEMA kwa sasa ni kubwa, achana na agenda ya LOWASA kuja CHADEMA, tuletee ngombea wetu asiye sehemu ya watu wa LOWASA, sisi tumeisha jiandikisha, na tunasubiri masanduku ya kupiga kura. CHADEMA bila LOWASA inawezekana. MBOWE, anayekushauri ati utapata mtaji wa watu anakuongopea. wao kama wamechukia si watupigie kura tu, unatosha. usichafue chama. Hoja yetu kwa muda mrefu ni kwamba CCM ni mafisadi, akina LOWASA, ROSTAM AZIZI, KALAMAGI, sasa wamekuwa wasafi lini? yaani kukatwa kwa LOAWASA kumewasugua na kuwasafisha??? acha mzaha, sisi tuko serious na ukombozi wa nchi hii. Bora kukosa URAIS tukawa na wabunge wengi kuliko kuwa na LOWASA kama mgombea URAIS kwa CHADEMA.

Siku moja mtakumbuka maneno yangu.

utatoka wewe peke yako
 
Ukiweka ushabiki wa kisiasa, hapa kuna hoja muhimu inayotaka tafakuri mujarabu. Tusifumbe macho na fikra zetu kwa sababu yu ya uchaguzi wa octoba halafu tukaja kujuta baadae. Tuwe makjni.
 
Mimenusa hisia na joto la wengi kuhusu hoja ya kumkaribisha Lowasa CHADEMA - Madhara yake ni makubwa kuliko viongozi wanavyodhania. Huu ndio ukweli wenyewe:

Hata kama Lowasa angepitishwa kuwa mgombea wa CCM, bado UKAWA wangefanya vizuri maana wananchi wanakiu ya mabadiliko.

Kitendo cha Kumpitisha Magufuli kimefanya kazi ya kuichachafya CCM kuwa nyepesi zaidi maana wafuasi wa Lowasa wengine bado ungekuwa mtaji wa UKAWA hata bila kumuingiza Lowasa katika kundi la UKAWA.

Kumkaribisha Lowasa na kundi lake ni Ku-bland UKAWA, haitauwa UKAWA tena maana wanaokuja na Lowasa ni waliopitisha KATIBA mbovu, vita yetu tutakuwa tumeipoteza kwa kujisalimisha kwa adui kia aina.

Lowasa na Kundi lake ni kama mbwa mwitu. watakao baki salama ni CCM maana wao magamba yatakuwa yamevuka, yamevaliwa na CHADEMA. Chadema yenye Rostam Azizi, Karamagi, Kingunge, Lowasa, n.k siioni kama CHADEMA ya kuleta nafuu kwa walalahoi. itakuwa ni Muungano wa CCM na CHADEMA, hapo itikadi na harakati zinatakiwa zibadilike, wananchi hatukuunga nkono CHADEMA mfanye hayo.

Hii agenda ya kumpokea Lowasa mmeitoa wapi? Mbona Wabunge wa upinzani wachache waliokuwa bungeni ndio wameshawishi watu wengi kuiunga mkono kwa sababu ya hoja zao? kwani nilini Lowasa alisimama bungeni akatoa hoja ya kueleweka? Lowasa anamtazamo gani kuhusu katiba Mpya?, kuhusu ufisadi?, kuhusu muundo wa muungano? atanadi vipi ilani ya uchaguzi asiyoiamini? au kunanini hasa la ziada?

Lowasa na kundi lake wakiingia CHADEMA, wengi tutatoka CHADEMA na iko siku viongozi wote mtajikuta mnatakiwa kutoka nje ya CHAMA kwa njia ya nguvu ya vikao na katiba ya chama halafu wanabaki wao. Huu utaratibu wa mtandao hawatauacha utawatafuna nyie mnao wakaribisha watu hawa. Itakuwa kama MREMA na TLP na Ngawaiya.

Nguvu ya CHADEMA kwa sasa ni kubwa, achana na agenda ya LOWASA kuja CHADEMA, tuletee ngombea wetu asiye sehemu ya watu wa LOWASA, sisi tumeisha jiandikisha, na tunasubiri masanduku ya kupiga kura. CHADEMA bila LOWASA inawezekana. MBOWE, anayekushauri ati utapata mtaji wa watu anakuongopea. wao kama wamechukia si watupigie kura tu, unatosha. usichafue chama. Hoja yetu kwa muda mrefu ni kwamba CCM ni mafisadi, akina LOWASA, ROSTAM AZIZI, KALAMAGI, sasa wamekuwa wasafi lini? yaani kukatwa kwa LOAWASA kumewasugua na kuwasafisha??? acha mzaha, sisi tuko serious na ukombozi wa nchi hii. Bora kukosa URAIS tukawa na wabunge wengi kuliko kuwa na LOWASA kama mgombea URAIS kwa CHADEMA.

Siku moja mtakumbuka maneno yangu.

Unaongea kama mwanamke mpumbavu.... Hujui siasa, kaa kimya...
 
Back
Top Bottom