Habari,kuna kero naona hapa Runzewe- Bukombe,Geita,baada ya waziri wa mambo ya ndani Mh.Kangi Lugola kutolewa kwenye Wizara hiyo na kukaliwa na Mh.George Simbachane,watu wa bima ,mfano Bumaco company wameanza tena kamatakamata ya pikipiki.
Je,waziri wa sasa ameruhusu tena pikipiki kukamatwa...