Habari,kuna kero naona hapa Runzewe- Bukombe,Geita,baada ya waziri wa mambo ya ndani Mh.Kangi Lugola kutolewa kwenye Wizara hiyo na kukaliwa na Mh.George Simbachane,watu wa bima ,mfano Bumaco company wameanza tena kamatakamata ya pikipiki.
Je,waziri wa sasa ameruhusu tena pikipiki kukamatwa kama haina Bima? Waziri aliyepita alisema ,Pikipiki ya kukamatwa ilipaswa kuwa 1.Uliyosabibasha ajali 2.Iliyoibwa 3.Iliyohusika katika uharifu.
Je, sasa mambo mbona yamebadilika bila kusikia kauli ya waziri mwenye dhamana.Naomba kuwakilisha dukuduku yangu kwa Waziri.
Je,waziri wa sasa ameruhusu tena pikipiki kukamatwa kama haina Bima? Waziri aliyepita alisema ,Pikipiki ya kukamatwa ilipaswa kuwa 1.Uliyosabibasha ajali 2.Iliyoibwa 3.Iliyohusika katika uharifu.
Je, sasa mambo mbona yamebadilika bila kusikia kauli ya waziri mwenye dhamana.Naomba kuwakilisha dukuduku yangu kwa Waziri.