Kwa nini iwe siri? Ni utaratibu umewekwa kisheria hivyo kama unajua hukatazwi kushare info. Ninavyofahamu ni kwamba unanunua silaha halafu unaenda polisi unapewa fomu ya maombi ya kumiliki silaha kisha unaenda kwenye kamati ulinzi na usalama ya serikali ya mtaa ,,huko watakuhoji na kisha...
Kuna kitu nyuma ya pazia Jared ni Mmarekani mwenye nasaba ya Myahud na mpango wa Trump nikuendelea kuilinda Israel pia Jared Kushner ndio atakuwa mshahuri pia wa mambo ya Masharik ya kat,Kwa mazingira hayo Iran ijiandae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.