Helw Rafiki, pole ndugu kwa changamoto hiyo ya kiafya, nimekutana na watu wenye hali kama hiyo ya kwako, kuna mama mmoja yey alikua hata wiki 2 zinapita, but akijapata haja kinakua kigum kwel kwel, saiv yuko vzur kbsa, mwengine n kaka mmoja wa Morogoro, yey mda wte tumbo limejaa, hajiskii kula...