Msaada natafuta kazi.

Msaada natafuta kazi.

ume-generalise mno itakuwa shida kwa mtu mwenye nia njema kukusaidia.

Taja sifa zako hata kama huchagui kazi..elimu yako, skills, na vingine ambavyo unahisi vinaweza kukupa edge kwenye kupata kazi (lugha).

Usikate tamaa hadi kuandika.
Helw, ni wengi wenye changamoto kama yakwako, nipo Dar es salaam, nitafte nikupe idea/nikushirikishe fursa, then utafanya maamuzi mwenyewe kama utaweza tuchape kazi. call/text/whatsapp 0688462006
 
Za asubuhi wapendwa. Mimi ni msichana Nina miaka 24 naishi dar es salaam. Natafuta kazi sehemu yeyote mijini au kijijini pote nipo tayari kufanya. Ninaomba msaada wenu. Nimekaa nyumbani nimechoka na mtu akisema nijiajiri napenda sana kujiajiri lakini suala la kujiajiri nalo linahitaji pesa. Kwa sasa hata hela ya kuishi nawaza. Najua huku kuna mawaziri wakurugenzi, na hata watu wenye makampuni naombeni mnisaidie Mimi mwanenu. Nahitaji kazi yeyote sichagui kutokana na elimu yangu ilimradi nipate pa kuponea. Asanteni na mbarikiwe

Tuwasiliane binti kama utakuwa hujapata kazi. Nitakuunganisha mahali utapatiwa huduma ya kutafutiwa kazi bila hofu kabisa. Ni mahali mie nimepatiwa huduma na ninafanya kazi. Namba yangu ni 0786187408.
 
Tuwasiliane binti kama utakuwa hujapata kazi. Nitakuunganisha mahali utapatiwa huduma ya kutafutiwa kazi bila hofu kabisa. Ni mahali mie nimepatiwa huduma na ninafanya kazi. Namba yangu ni 0786187408.
Tatizo la watanzania wa Leo hamuwezi kusaidia bila kuomba rushwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom