Hii kitu mimi mwenyewe nimexperience nikilala na fan huwa nikiamka nakua nimechoka saana, ila nikilala Bila fan huwa niko fit tuUnalala Na fan?
Hii kitu mimi mwenyewe nimexperience nikilala na fan huwa nikiamka nakua nimechoka saana, ila nikilala Bila fan huwa niko fit tuUnalala Na fan?
Wamesema fan- shabiki not feniHakuna mi nalala Na feni mbili,nanikiamka Niko POA Na Mzigo nakula
Nitafte nipo Dar, ikiwezekana fika ofisin itakua na maana zaidi 0688462006Wakuu
Habari wana jf kuamka mwili ukiwa umechoka sana wakati mwingine kama umefanya kazi ngumu sana,inasababishwa na mambo gani kiafya au kimazingira
Natanguliza shukrani
Nimeupenda ushauri wako maana mi huwa Alarm na set nusu kabla ya muda wakuondoka hivyo ikilia tu... Ni straight to the bathroom!* Kumekuwepo na tatizo la vifo vya ghafla sana tena kwa watu ambao wana afya njema na hii inatokana na kuamka ghafla usiku ambapo ubongo hukosa damu ya kutosha .*
*Unapoamka katikati ya usiku kwenda kujisaidia haja ndogo mfumo wa damu unakuwa umebadilika.* *Kwa sababu kuamka ghafla,kinakuwa hakuna mzunguko wa kutosha wa damu kwenye ubongo unaosababisha moyo kushindwa kufanya kazi kutokana na ukosefu wa damu.* *Ushauri:tumia dakika 3 na nusu kufanya yafuatayo":*
*1. Unapoamka usingizini lala kitandani kwa nusu dakika ;*
*2. Kaa kitandani kwa takribani nusu dakika;*
*3. Shusha miguu,kaa pembeni ya kitanda takribani nusu dakika.* *Baada ya dakika 3 na nusu hutakuwa na tatizo la ukosedu wa damu kwenye ubongo na moyo kushindwa kufanya kazi inapunguza uwezekano wa vifo vya ghafla na kuanguka ghafla.*
*Shirikisha marafiki na jamaa.* *Inatokea bila kujali umri.*
*kushare ni kujali.Kama tayari ulikuwa unajua hili lichukulie kama kumbukumbu.