resonanceiduufu
Senior Member
- Jul 29, 2016
- 112
- 62
Duh!! Nina ulcers ila nmeambiwa nitumie sana binzari na juice ya limau!; eti jamaa alitibiwa nayo!!Mwambie apunguze mawazo na awe ana kunywa mazima.
Ajitahidi kukimbia vyakula vyenye tindikali?? (Acid) kama Limau, ndimu, binzari, maharage, pombe kali au pombe kwa ujumla nk ...
Kwa nyie nduguze mjitahidi kuwa naye kwa karibu na kumkeep busy ili asiwe na muda wa kukaa na kufikiri saana.