Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Mwambie apunguze mawazo na awe ana kunywa mazima.
Ajitahidi kukimbia vyakula vyenye tindikali?? (Acid) kama Limau, ndimu, binzari, maharage, pombe kali au pombe kwa ujumla nk ...

Kwa nyie nduguze mjitahidi kuwa naye kwa karibu na kumkeep busy ili asiwe na muda wa kukaa na kufikiri saana.
Duh!! Nina ulcers ila nmeambiwa nitumie sana binzari na juice ya limau!; eti jamaa alitibiwa nayo!!
 
Ndio Akinge (Urine) wake awe anakunywa kila Asubuhi kabla ya kula kitu kwa muda wa wiki moja aende kupima hivyo Vidonda vyake vya Tumbo vitakuwa Vimekwisha kauka na Matatizo yake yatakuwa yamekwisha nasema kweli simtanii hiyo dawa imewasaidia wengi.Kabla ya kunyw a:Mkojo wake akaupime hospitali je mkojo wake hauna maradhi yoyote yale? ndipo anaweza kutumia kwa kunywa.
Umekumbusha dada mmoja mrembo sijui alikuwa anaumwa nini akaja kwa bibi yangu akapewa dozi ya mkojo wa punda na akapona akarudi kwao mzima wa afya.
 
Umekumbusha dada mmoja mrembo sijui alikuwa anaumwa nini akaja kwa bibi yangu akapewa dozi ya mkojo wa punda na akapona akarudi kwao mzima wa afya.


Mkuu Mwande, ipo siku nitakutafuta unipe uzoefu juu ya inshu fulani hivi ya biashara. Nina imani kubwa sana kwako kuhusu inshu hiyo kaka.

-Kaveli-
 
Salaam,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,siku ya jana nililazimika kufika hospital hasa kwaajili ya kuchunguza afya yangu na kwabahati mbaya nimegundulika na vidonda vya tumbo.

Hospital wamesema wao wanazo dawa lakini kupitia mama yangu ambaye alishawahi kuugua vidonda vya tumbo na kisha alipona kupitia tiba mbadala kwa urahisi na kwa muda mfupi na kwasasa unakula vile vyote vinavyokatazwa kwa wenye vidonda vya tumbo pasipo madhara yoyote.

Changamoto niliokutananayo mama amepoteza mawasiliano ya mjuzi aliyemtibu na hakuna namna anaweza patikana tena.

JF ni kila kitu kwani ni imani yangu nitashauriwa vizuri hata ikibidi tiba yake,japo imani yangu inaniambia humu JF ninaweza mpata mtu aliyewahi kuugua vidonda vya tumbo na hatimae akapona baada ya tiba huyo ni rahisi kunipa dira sahihi kwani licha ya kuwa kweli mama alipona kwa urahisi lakini matapeli pia wapo.
Pia ni rahisi humu kupata ushauri wakidaktari.
thnx
 
Salaam,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,siku ya jana nililazimika kufika hospital hasa kwaajili ya kuchunguza afya yangu na kwabahati mbaya nimegundulika na vidonda vya tumbo.

Hospital wamesema wao wanazo dawa lakini kupitia mama yangu ambaye alishawahi kuugua vidonda vya tumbo na kisha alipona kupitia tiba mbadala kwa urahisi na kwa muda mfupi na kwasasa unakula vile vyote vinavyokatazwa kwa wenye vidonda vya tumbo pasipo madhara yoyote.

Changamoto niliokutananayo mama amepoteza mawasiliano ya mjuzi aliyemtibu na hakuna namna anaweza patikana tena.

JF ni kila kitu kwani ni imani yangu nitashauriwa vizuri hata ikibidi tiba yake,japo imani yangu inaniambia humu JF ninaweza mpata mtu aliyewahi kuugua vidonda vya tumbo na hatimae akapona baada ya tiba huyo ni rahisi kunipa dira sahihi kwani licha ya kuwa kweli mama alipona kwa urahisi lakini matapeli pia wapo.
Pia ni rahisi humu kupata ushauri wakidaktari.
thnx
Nenda moro eneo LA Kihonda uliza Dr.father ana dawa ya ukwel cn
 
  • Pole mkuu kwa kusumbuliwa na vidonda vya tumbo, habar njema ni kwamba vinatibika, na utarudia hali yako yakwaida tena ukiwa na afya njema pia ukiimarisha afya ya mwili wako kwaujumla. Nipo dsm, Tuwasiliane uanze tiba mapema iwezekanavyo 0714 547550 - Mbuya (Trévo)
Salaam,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,siku ya jana nililazimika kufika hospital hasa kwaajili ya kuchunguza afya yangu na kwabahati mbaya nimegundulika na vidonda vya tumbo.

Hospital wamesema wao wanazo dawa lakini kupitia mama yangu ambaye alishawahi kuugua vidonda vya tumbo na kisha alipona kupitia tiba mbadala kwa urahisi na kwa muda mfupi na kwasasa unakula vile vyote vinavyokatazwa kwa wenye vidonda vya tumbo pasipo madhara yoyote.

Changamoto niliokutananayo mama amepoteza mawasiliano ya mjuzi aliyemtibu na hakuna namna anaweza patikana tena.

JF ni kila kitu kwani ni imani yangu nitashauriwa vizuri hata ikibidi tiba yake,japo imani yangu inaniambia humu JF ninaweza mpata mtu aliyewahi kuugua vidonda vya tumbo na hatimae akapona baada ya tiba huyo ni rahisi kunipa dira sahihi kwani licha ya kuwa kweli mama alipona kwa urahisi lakini matapeli pia wapo.
Pia ni rahisi humu kupata ushauri wakidaktari.
thnx
 
Yaani umeshataa kutibiwa hospitali na sasa unataka kupata tiba JF!!! Au kwa mganga wa kienyeji... Duh, aiseee pole sana.
 
Yaani umeshataa kutibiwa hospitali na sasa unataka kupata tiba JF!!! Au kwa mganga wa kienyeji... Duh, aiseee pole sana.
Kuna thread humu itafute na bahati mbaya sana nimesahau nani alikua muanzilishi wake.Jamaa alishangazwa baada ya mama yake alikua anasumbuliwa na matatizo ya uti wa mgongo,muhimbili walimpatia rufaa aende apolo india,alipofika huko walimshauri ili kutatua tatizo la mama yake ampeleke kwa wataalamu wa tiba mbadala huko huko india,jamaa alishangazwa namna wahindi walivyokua mbali kwenye tiba zao,gharama ilikua kubwa maradufu kuliko hospitali lakini mama yake alipona,Mizizi sio ushirikina na dawa nyingi hizi za hospitali chanzo chake ni miti,tuache kukariri.Hio habari ya mama niliohadithia hapo juu nimeishuhudia mwenyewe kwani mama yangu leo anakula maharage,dagaa,pilipili na hakuna tatizo lolote,

Mzungu alifanikiwa sana kutushika akili zetu na kuhakikisha tunajidharau wenyewe kwa wenyewe.Lazima tubadilike watanzania vinginevyo hiii tanzania ya viwanda itakua ni kichekesho

Nitafanya mawasiliano na mmoja wa walionipatia mawasiliano,thnx
 
Mm nikiwahipata shida hiyo japo niliviwahi maana haikupita miezi6 ila nilipona kabisa nilienda hospitali nikaandikiwa dawa inaitwa HELIGO KIT ni dawa frm India inatibu aisee.
 
Salaam,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,siku ya jana nililazimika kufika hospital hasa kwaajili ya kuchunguza afya yangu na kwabahati mbaya nimegundulika na vidonda vya tumbo.

Hospital wamesema wao wanazo dawa lakini kupitia mama yangu ambaye alishawahi kuugua vidonda vya tumbo na kisha alipona kupitia tiba mbadala kwa urahisi na kwa muda mfupi na kwasasa unakula vile vyote vinavyokatazwa kwa wenye vidonda vya tumbo pasipo madhara yoyote.

Changamoto niliokutananayo mama amepoteza mawasiliano ya mjuzi aliyemtibu na hakuna namna anaweza patikana tena.

JF ni kila kitu kwani ni imani yangu nitashauriwa vizuri hata ikibidi tiba yake,japo imani yangu inaniambia humu JF ninaweza mpata mtu aliyewahi kuugua vidonda vya tumbo na hatimae akapona baada ya tiba huyo ni rahisi kunipa dira sahihi kwani licha ya kuwa kweli mama alipona kwa urahisi lakini matapeli pia wapo.
Pia ni rahisi humu kupata ushauri wakidaktari.
thnx
Pole ndugu mimi ninaweza kukupa dawa ya vidonda vya Tumbo ukapona kwa siku 21 au siku 30 Ukihitaji dawa toka kwangu Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
 
Mm nikiwahipata shida hiyo japo niliviwahi maana haikupita miezi6 ila nilipona kabisa nilienda hospitali nikaandikiwa dawa inaitwa HELIGO KIT ni dawa frm India inatibu aisee.
Hospitali gani ulienda mkuu na gharama zake zikoje? vidonda vinanitesa sana mkuu.
 
Yaani umeshataa kutibiwa hospitali na sasa unataka kupata tiba JF!!! Au kwa mganga wa kienyeji... Duh, aiseee pole sana.
Mkuu Sokwe Dawa za Hospitali hazitibu zinasaidia kutuliza sio kutibu kaka. Tofauti na dawa za Mitishamba zinatibu na kuondosha maradhi kabisa. Usidharau dawa za mitishamba Mkuu iko siku utakuja kuumwa utakuja kututafuta humu humu Jamiiforums.''THE PHARMACEUTICAL INDUSTRY DOES NOT CREATE CURES THEY CREATE CUSTOMERS''
 
Back
Top Bottom