Recent content by ndeje

  1. N

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kwanini mkuu! mbona mda bado upo
  2. N

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Hata Mimi naamini hivyo
  3. N

    Fighting spirit ni jambo kubwa katika mpira ukiachana na ubora na mbinu

    Ukiacha ushabiki wako wa Yanga ila huu ndio uchambuzi wa Mpira. Mwenye kuelewa na aelewe.
  4. N

    Binti wangu hawezi kuolewa na mtu maskini - Elon Musk

    Aisee nimeshangaa sana. Kama JF great thinkers' home kupo hivi huko kwingine vipi?
  5. N

    Farhan Kihamu ana majibu yako wewe mfia timu

    Fikiria Fiston Mayele wale Yanga wanastruggle mpaka leo watu walikuja wakaweka pesa wakasepa nae
  6. N

    Mwezi wa RAMADHANI ndio umefika ila please tuvumiliane

    Halafu utasikia waislam ni wadini sana mbona kipindi cha kwaresma wao hawakuanzisha thread Kama hizi
  7. N

    Kisa cha Mfalme wa Nyika Simba Kibogoyo

    Fisi noma sana kamvalisha simba jezi ya yanga kajikuta anatoa matamko tu ya kumshusha azam wakati hana mikakati yoyote uwanjani. Mtaani kuna vijana wengi wenye vipaji wanasubili kusajiliwa Ruvu na mtibwa ambazo kuna tetesi hazina fungu la usajili.
  8. N

    Tanzania ya 10 kwa ubora wa uchumi Afrika

    Sijaelewa vizuri nahitaji ufafanuzi kidogo, kwenye maelezo yako unasema nchi ya Kenya thamani ya uchumi wake kwa sasa ni dola bilioni 64.688 mwaka 2016 na umeiweka namba 9 wakati huohuo unadai thamani ya uchumi wa Tanzania ni dola bilioni 45.899 mwaka 2016. Kinachonishangaza kwenye hiyo table...
  9. N

    Serikali bado inaendelea na ukamilishaji wa zoezi la uhakiki wa watumishi

    ........... -3, -2, -1, 0, 1, 2, 3, .................
  10. N

    Nikimchambua Dr. Mwaka mimi kama Daktari bingwa mwenye taaluma hiyo

    Kama kosa hilo linaweza kukusweka jela kwa miaka mitano ama zaidi basi wewe na Mwaka mnastahili adhabu sawa kwani kujiita Malaika Mkuu ni kujifanya kitu ambacho hauko.
  11. N

    Pombe ni hatari kwa uchumi

    Kuna tafiti zinaonesha watanzania wengi hawakupenda kunywa POMBE, ila wamejikuta wakiishi tu kama mashetani, yote sababu ya POMBE.
  12. N

    Prof. Anna Tibaijuka atolea Ufafanuzi sakata la Escrow, agoma Kujiuzulu

    Hakika waandishi wa habari hamjautendea haki umma wa watanzania mlienda kufanya nini huko? Haka kamaza kalisha onesha dalili mapema kwani kalitumia bodi ya shule yake kumsafisha, kwahiyo ilishafahamika mapema katesema nini. siku nyingine kima kama Hawa haina haja kwenda kuwasikiliza kwakua...
  13. N

    Mama mtoto wa sugu avaa pampers kwenye birthday

    Kama ana fistula avaeje?
  14. N

    Rais Kikwete amteua Justice Prof. Ibrahim Juma kuwa mwanasheria mkuu (AG) Mpya

    Vipi waliotoka walikua dini gani? Huu sio mda wa kukumbatia udini. By the way hizi ni tetesi tu Ikulu haijathibitisha.
Back
Top Bottom