Fisi noma sana kamvalisha simba jezi ya yanga kajikuta anatoa matamko tu ya kumshusha azam wakati hana mikakati yoyote uwanjani. Mtaani kuna vijana wengi wenye vipaji wanasubili kusajiliwa Ruvu na mtibwa ambazo kuna tetesi hazina fungu la usajili.
Sijaelewa vizuri nahitaji ufafanuzi kidogo, kwenye maelezo yako unasema nchi ya Kenya thamani ya uchumi wake kwa sasa ni dola bilioni 64.688 mwaka 2016 na umeiweka namba 9 wakati huohuo unadai thamani ya uchumi wa Tanzania ni dola bilioni 45.899 mwaka 2016. Kinachonishangaza kwenye hiyo table...
Kama kosa hilo linaweza kukusweka jela kwa miaka mitano ama zaidi basi wewe na Mwaka mnastahili adhabu sawa kwani kujiita Malaika Mkuu ni kujifanya kitu ambacho hauko.
Hakika waandishi wa habari hamjautendea haki umma wa watanzania mlienda kufanya nini huko? Haka kamaza kalisha onesha dalili mapema kwani kalitumia bodi ya shule yake kumsafisha, kwahiyo ilishafahamika mapema katesema nini. siku nyingine kima kama Hawa haina haja kwenda kuwasikiliza kwakua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.