hili tatzo lilinianza mwaka jana mwishoni sijui ni tatizo gani hasa hospitali nishaenda zaidi ya mara moja dawa nimetumia za aina mbali mbali lakini wapi.
yani mara nimalizapo kula chakula au kunywa kinywaji chochote kile kasoro maji tu mwili utaanza kuniwasha baadhi ya sehemu kisha sehemu izo...
unashangaa iyo nishawahi kuwapa lift mademu wa3 kufika mbele huko bajaji ikakwama nikawaomba washuke waniaidie kusukuma kidogo wote waligoma kuanzia siku hiyo sitoi lift kwa mwanamke hata iweje
mimi naishi huku huu mwaka wa 5 sasa ofcoz wako vzuri lakini hawana maajabu kwenye sita kwa sita nishapiga manzi zaidi ya 47 nikiwa huku lakin ni wawili tu ndio walijitaidi kwenye 6*6 wengine hakuna kitu kabsa wabongo madem zetu wapo vzuri sana tu
Kama title inavyojieleza hapo juu huyu jamaa ni kweli amepita nao wengi sana lakini kwa huu ujinga alioufanya siwezi kumsapport amecreate group amewa add ma ex zake wote mbaya zaidi ameweka picha yake kwenye profile baadhi ya hao mademu wanajuana vzuri wengine wanaulizana unamfaham huyu jamaa...
Mozambican head of state, Nyusi, publicly stated that France was ready to support bilateral and multilateral partners in the fight against terrorism in Mozambique. This leaves no doubt about who is financing Kagame’s military adventure in Mozambique. France is the financier. Rwandan troops have...
mimi niliwahi kwwnda kwa mganga akanipa dawa ya kuchoma huku nataja jina la demu kumbe ile sio dawa ni bangi alikua ameisaga vzuri sana aise nyumba nzima ilijaa harufu mshua alitaka kuniua kwa kipigo iyo siku
jaribu kukumbuka mazuri yake pia naamini anayo mengi kuliko hayo mabaya yake pima halafu yafanyie kazi mazuri yake hakuna binadam aliyekamilika hapa duniani acha akili za kitoto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.