Ukiona mtu anaaza kusema cha hiki ni cha kanda fulani,chamahiki cha kabila fulan,chama cha dini fulan.ujue huyo mtu kashiwa hoja.anatasuta msaada wa hoja zake za ukanda ukabila udini zi mbebe.
Ckwel.mmezoea kutudanganyae!!! Inaonesha bank kuu hamna kitu siyo.escorow ndo sosi ya kuporomoka kwa uchumi na cyo tanesco ,bvr na mabehewa ya tren.benno ndulu anapaswa kuachia ngazi.kashindwa kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.