Kimenuka CCM Arusha sasa vipande vipande

Kimenuka CCM Arusha sasa vipande vipande

Bunge lenye wabunge wengi wa ccm na kamati ya maliasili inayoongozwa na mbunge wa ccm iliwaona mawaziri wanahisika kwenye madhila yaliyowapata wananchi wakati wa operation tokomeza. Bunge hilohilo likawaona Muongo na Maswi wanahisika na Escrow. Leo hii serikali inayoongozwa na ccm inawaona wote hawana matatizo na wamesafishwa. Serekali inawaona wabunge na Wananchi kuwa wajinga kabisa haswa baada ya kutumia hela nyingi za walipa kodi kutafuta ukweli wa operation tokomeza na Escrow. Serikali iliwahadaa washirika wa maendeleo kuwa wamechukua hatua juu ya wahusika wa escrow. Na hili ndo Joka la makengeza alikuwa ameshauri kuwa Rais aachiwe achukue hatua baada ya kufanya uchunguzi. Tusubiri October

Nikichekesho sana,
 
Lowassa katenda dhambi isiyo sameheka vinginevyo kama unataka kujichafua mwenyewe.

jiheshim kijana dhambi isiyosameheka ni ipi? unaugua nini? Jk ndo ametenda dhambi isiyo sameheka. Aliambiwa Richmond tuifitilie mbali akagoma. Sasa itamtafuna. Mwache EL aendelee name siasa zake, huenda ndiye Rais ajaye.
 
Umesema vema, lakini ndani ya ccm nani anaweza kuwa na tafakuri ya hivi?
Hata wale ambao wana mawazo mazuri hawawezi kwa sababu ni wachumia tumbo.
Nobody in ccm will think beyond his nose.

Wamefumbwa midomo na utafutaji ridhiki
 
Kafungwa mikono na miguu halafu anaambiwa apigane.Hiyo kamba iliyomfunga ikikatika ndipo mambo yatakapojulikana.Lowassa ni mpiganaji.wakimtema tu Lowassa wamekwisha.

Ndio itakuwa kibra ya ccm
 
Kafungwa mikono na miguu halafu anaambiwa apigane.Hiyo kamba iliyomfunga ikikatika ndipo mambo yatakapojulikana.Lowassa ni mpiganaji.wakimtema tu Lowassa wamekwisha.
Huo mpasuko hautakuwa na jinsi ya kuuziba
 
Muda mfupi baada ya Ikulu kuwasafisha makada waliotuhumiwa kwa kashfa za Tokomeza ujangili na Escrwo wana ccm arusha nao walipuka.

Wanahoji kwanini lowasa hasafishwi kama hao wengine?

Wahiji kwanini lowasa amefungwa mikono na mdomo kisha anaambiwa apigane?

Wanachama hao wa ccm arusha wanahoji kwanini ikulu iwasafishe Maswi,mhongo na wengine lakini haijawahi kudhibitisha wala kukataa tuhuma zilizoelekezwa kwa lowasa?

Wataka na lowasa asafishwe lasivyo pata chimbika.

Kitakacho mwokoa Lowassa ni kutamka Richmond ni ya nani. Siku akisema ni ya nani hata mimi nitajiunga na Team Lowassa .
 
jiheshim kijana dhambi isiyosameheka ni ipi? unaugua nini? Jk ndo ametenda dhambi isiyo sameheka. Aliambiwa Richmond tuifitilie mbali akagoma. Sasa itamtafuna. Mwache EL aendelee name siasa zake, huenda ndiye Rais ajaye.

Wacha tumuombee mzee mamvi
 
Au kuna karata zinachezwa ndani ya CCM...hivi Mh.Kinana na Nape mbona hawasikiki...hapa kuna mambo ya kulipizana kisasi hebu tusubiri tuone au labda wanataka kujitoa wasubiri baada ya 5 yrs.Maana hawa jamaa kwa visasi ndio wenyewe
 
Muda mfupi baada ya Ikulu kuwasafisha makada waliotuhumiwa kwa kashfa za Tokomeza ujangili na Escrwo wana ccm arusha nao walipuka.

Wanahoji kwanini lowasa hasafishwi kama hao wengine?

Wahiji kwanini lowasa amefungwa mikono na mdomo kisha anaambiwa apigane?

Wanachama hao wa ccm arusha wanahoji kwanini ikulu iwasafishe Maswi,mhongo na wengine lakini haijawahi kudhibitisha wala kukataa tuhuma zilizoelekezwa kwa lowasa?

Wataka na lowasa asafishwe lasivyo pata chimbika.

Wanasubiri mafuriko yapite na maji yatulie ndipo wanunue dodoki wamsafishe na sabuni tesa
 
CCM (Nape) alishasema hawana dodoki la kuweza kumsafisha Lowassa!
 
Matukio ya Bongo yanaweza kukufanya kuzinduka hata kama ulikuwa umezimia[/QUOTE]

pokea like yangu mkuu
 
Back
Top Bottom