Kwanza ni muhimu ifahamike kuwa asilimia 99.9999999 ya wenyeviti wa ccm wa mikoa wapo upande wa Lowassa. Pili, Diallo ni rafiki wa karibu wa Lowassa tangu wakiwa kwenye awamu ya kwanza ya uongozi wa Jakaya Kikwete.
Ukitaka majadiliano ya kina kuhusu tofauti ya dini hizi mbili, anzisha uzi mpya. Huu umejaa kashfa zaidi. But what you need to avoid ni generalization. Yapo mambo ambayo Biblia imeyakataza tena kwa lugha kali, lakini wanadamu wanaojiita wakristo hawayazingatii kama ilivyo kwenu pia wapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.