Sherehe za Muungano: Kikwete amkwepa Lowassa?

Sherehe za Muungano: Kikwete amkwepa Lowassa?

Wimana weka picha tuone umbali uliopo ili tuone na kujadili kwa kina zaidi.

Nilikuwa naangalia kupitia Tv.

Jumapili fuatilia Vipindi vya Wiki Hii- ITV, au Matukio ya Wiki via Star TV. Unaweza kubahatika kuliona tukio lile.
 
Team Lowasa bhana ! Hamkati tamaa tu ? Yaani Leo ndiyo mmeamua kutuletea upuuzi huu siyo ! Kweli nyama na pombe ni balaa ! Mimi nilijua ni Monduli tu , kumbe hata Jf ofa imetia team duh !

Duh, hii kali! Yaani ukizungumzia kuhusu Lowassa na Kikwete basi unaingiza katika mtifuano wa CCM! Kama ni hivyo, ifikapo 2015, hali itakuwa mbaya sana.
 
Hivi ni Itifaki au kuna kingine?

Leo akisalimia wageni waalikwa kwa kushikana nao mikono na kila mmoja, lkn hakumpa mkono Lowassa pamoja na Lowassa kupenyeza mkono lkn JK 'hakuuona'.

Wakati JK anarudi baada ya kumaliza kusalimiana akirudi kuketi, Lowassa alimpungia JK lkn kwa 'bahati mbaya' JK hakumuona!

GTs, tukio hili ni la Kiitifaki au ndio mtifuano wa kimaslahi na kimakundi ndani ya CCM?

Mungu wangu tumefika hapa?????
 
Hivi ni Itifaki au kuna kingine?

Leo akisalimia wageni waalikwa kwa kushikana nao mikono na kila mmoja, lkn hakumpa mkono Lowassa pamoja na Lowassa kupenyeza mkono lkn JK 'hakuuona'.

Wakati JK anarudi baada ya kumaliza kusalimiana akirudi kuketi, Lowassa alimpungia JK lkn kwa 'bahati mbaya' JK hakumuona!

GTs, tukio hili ni la Kiitifaki au ndio mtifuano wa kimaslahi na kimakundi ndani ya CCM?
Mkuu mwenyewe ushasema 'hakumuona' akapunga mkono 'kwa bahati mbaya' hakumuona..., sasa sijui ndio unatuambia nini.
 
upuuzi mwingine ndo kama huu amkwepe asimkwepe inatusaidia nini sisi watanzania ambao tumeibiwa kodi zetu na hao ccm ambao wanakwepana
 
Mkuu mwenyewe ushasema 'hakumuona' akapunga mkono 'kwa bahati mbaya' hakumuona..., sasa sijui ndio unatuambia nini.

Kuna mdau aliuliza swali kama hilo GT mmoja akamsaidia, nawe jaribu kupitia pg moja moja.
 
Mkuu mwenyewe ushasema 'hakumuona' akapunga mkono 'kwa bahati mbaya' hakumuona..., sasa sijui ndio unatuambia nini.
mbona ameeleweka?

kuna tofauti kati ya 'hakumuona' na hakumuona. 'Hakumuona' inamaanisha alimwona lakini akapotezea. Hakumuona maana yake kweli hakumuona.
 
Hivi ni Itifaki au kuna kingine?

Leo akisalimia wageni waalikwa kwa kushikana nao mikono na kila mmoja, lkn hakumpa mkono Lowassa pamoja na Lowassa kupenyeza mkono lkn JK 'hakuuona'.

Wakati JK anarudi baada ya kumaliza kusalimiana akirudi kuketi, Lowassa alimpungia JK lkn kwa 'bahati mbaya' JK hakumuona!

GTs, tukio hili ni la Kiitifaki au ndio mtifuano wa kimaslahi na kimakundi ndani ya CCM?

Chuki za Kikwere hizo
 
Mwaka 2016 JK atakuwa ameshajenga maadui wengi ndani na nje ya chama chake.
Imagine Lema apewe wizara inayochunguza mali za viongozi wastaafu na katiba ikiwa imesharuhusu kiongozi mkuu kushtakiwa kwa matendo maovu aliyofanya? Nini kitatokea? Sio vizuri rais kuendekeza chuki na visasi

Hebu tuondolee hiyo takataka iliyokataa shule. Kwa wehu wake, anachostahili Lema ni kitanda mirembe
 
ukifika nyumbani kwako ukaona mkeo na wanao wamekununia ujue kuna jambo leo kikwete na lowasa kesho kikwete na wananchi mbeya kesho kutwa unadhani akienda mtwara watamchekea.
 
muungano upi huo?. kama ni wa tanganyika na zanaibar, naona munalazimisha tu. Wazanzibari hawautaki tena kwa zaidi ya 72%.
 
Back
Top Bottom