Serikali ya Muungano uisemayo ya baba mwenye watoto wawili haipo! Iliyopo ni Serikali mfano wa Baba aliyeungana na Mama, na Akazaliwa mtoto(Tanzania), Baada ya kuzaliwa mtoto, Baba akafariki, mama akaendelea kuishi, Utakubaliana nami kuwa baba aliendelea kuishi kupitia mtoto kwa maana mtoto...