Jussa na Seif mnawachelewesha Wazanzibari kuwa "huru kamili"!

hoja hapa sio wao wazanzibari na sisi watanganyika! Watanganyika tusijidanganye kuwa tutabaki salama baada ya kushabikia zanzibar wajitenge, tambueni wanasiasa ndo wanaowashinikiza wananchi kujitenga.

Tujivunie utanzania wetu na si utanganyika au uzanzibari kwa sababu sisi ni ndugu wamoja, ndugu anapoteleza mweke chini mshauriane mtapata suluhu. Tuongee kindugu katika fursa hii ya katiba.
 
hoja hapa sio wao wazanzibari na sisi watanganyika! Watanganyika tusijidanganye kuwa tutabaki salama baada ya kushabikia zanzibar wajitenge, tambueni wanasiasa ndo wanaowashinikiza wananchi kujitenga.

Tujivunie utanzania wetu na si utanganyika au uzanzibari kwa sababu sisi ni ndugu wamoja, ndugu anapoteleza mweke chini mshauriane mtapata suluhu. Tuongee kindugu katika fursa hii ya katiba.

Hujawahi kusikia kuna wakati ndugu wanaachana? tena ndugu wa damu!?
 
Ukweli husemwa:

Hatuwahitaji wazanzanzibari wala hatuwalazimishi wawepo katika muungano.

Kama wanataka tuendelee na muungano basi kuwe na serikali moja ili kupunguza matumizi yasiyo ya lazima na zanzibar iwe ni mkoa katika jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Mipango ya Maendeleo ipangwe kwa usawa kutokana na uwiano wa watu bila kujali umetoka katika sehemu gani ya Jamhuri.

Vinginevyo wana uhuru wa kujiondoa na kujiamulia mambo yao wenyewe. Hatutawafukuza.

Wanasiasa wanaotoa wazo la serikali tatu ni wabinafsi wenye uchu wa madaraka. wanataka serikali tatu ili wapate vyeo vya kisiasa.


Mkuu, hapo kwenye red kutakuletea matatizo humu janvini. Jiandae na ubebe patriot kwa vile mapigo ya scud yako njiani.

Unataka kutuimanisha kuwa CDM wana ubinafsi wa uchu wa madaraka na vyeo kwa vile katika ilani yao ya uchaguzi wanadodosa serikali tatu.
 
Utalii tu wa beach resorts ndio mtaji wa Zanzibar (pwani za bara wamedhoofisha wahindi na hamna chochote manake utalii sio kitu chao wanakimbilia tu kutuulia beach zetu)
 
Huo mkataba na wachina, sera za kidini na vijimafuta na misaada toka nchi za kiarabu ndo zinawapa kiburi waache waende ila wanamashimo mengi ya kuziba ukiwemo ulinzi bora wa nchi ambayo ni secta muhimu zaidi na yakwanza ni sitashangaa kuona wakijitenga tena wao kwa wao (wapemba na waunguja) tuachieni Tanganyika yetu tuipendayo tupunguze migogoro..
 
G55 iko wapi jamani siku hizi hawa wazanzibari tuwatolee uvivu wanachonga sana!!!!!!!!!!kanchi kenyewe hakajai mkononi!!!wako wapi watanganyika kindakindaki!!!!wamelewa matunda ya tanganyika sasa wamevimbiwa wamejisahau wanafikiri sisi kukaa kimya ni mazuzu!!!f---m!!!
 
Baada ya Muungano kufa kwa hulka na silka za wazanzibari watachokoza tena kuhusuu mipaka.Watataka mail 13 zilee za kipindi kile.afu watalia lia weee then itakuwa mbaya sana baadae
 
Seif Sharrif na Jussa wasikie vizuri sana;tupo ambao hatutaki Muungano "wa mkataba"! Kama wao na wale wanaowashabikia wanaona kweli Tanganyika inawanyonya na wanataka uhuru kamili njia iko rahisi kabisa.

Wawaondoe wabunge wao kwenye Bunge la Muungano; waitishe kampeni ya Wazanzibari wanaotumikia serikali ya Muungano kuachia nafasi zao (akiwemo Ghaib Bilal) na wajitangazie "uhuru wao".

Lakini la kwanza ni kwa yeye (Seif) kuacha ziara za kisiasa Tanzania bara na kuamua kuvunja CUF ili chama cha siasa cha Wazanzibari watupu kizaliwe.

Hapo ndio tutajua kweli wanataka kuwa huru. Watoke kwanza wawe na Zanzibari yao halafu ndio watuulize kama tunataka Muungano wowote na wao! Siyo watoke halafu wakati huo huo waamue aina ya mkataba wanaoutaka wao!


LET ZANZIBAR GO!
To be frank binafsi bado sielewi ni nani anayetaka Muungano uendelee, walio bara tulio wengi hatutaki kuendelea kuwa pamoja na Wazanzibar na Wazanzibar hawataki muungano na sisi, je ninani anaye hitaji huu muungano mbona hauvunjwi? mimi nadhani yafanyike maandamano nchi nzima kupinga muungano ninaamini yatafanikiwa sana kwasababu hakuna mtu anayetaka muungano toka Mpanda mpaka Wete.
 
Kwa nini Wabunge wetu wako kimya juu ya kauli hizi za akina Jussa? Wazee wa hoja binafsi akina Mnyika, Tundu Lissu,..., mnashindwa nini kuwasaidia akina Jussa Muungano ufikie tamati? Katiba ya Zanzibar imewekwa uhuni mwingi watu mmekaa kimya. Hawa jamaa kwenye majukwaa na ndani ya BLW wanatoa kauli na matamko ya kuudhi, hakuna linalofanyika!

Prof Lipumba, ingia mkataba na Maalim Seif ili CUF iwe mfano wa mkataba wanaouhubiri. Bila ya kuanza na vyama vya mkataba, kuunda serikali ya muungano wa mkataba itakuwa vigumu.
 
To be frank binafsi bado sielewi ni nani anayetaka Muungano uendelee, walio bara tulio wengi hatutaki kuendelea kuwa pamoja na Wazanzibar na Wazanzibar hawataki muungano na sisi, je ninani anaye hitaji huu muungano mbona hauvunjwi? mimi nadhani yafanyike maandamano nchi nzima kupinga muungano ninaamini yatafanikiwa sana kwasababu hakuna mtu anayetaka muungano toka Mpanda mpaka Wete.

Lakini hawa wapemba wamezaa na ndugu zetu wa bara je watuachie watoto wetu au waende nao?
na wake na waume zao je? Halafu siku hizi wameturahisishia kufuata samaki feri wanatuuzia barabarani,
labda hiki nacho kinawapa kiburi kuwa tutakosa samaki barabarani.But all in all let them Go"
 
hoja hapa sio wao wazanzibari na sisi watanganyika! Watanganyika tusijidanganye kuwa tutabaki salama baada ya kushabikia zanzibar wajitenge, tambueni wanasiasa ndo wanaowashinikiza wananchi kujitenga.

Tujivunie utanzania wetu na si utanganyika au uzanzibari kwa sababu sisi ni ndugu wamoja, ndugu anapoteleza mweke chini mshauriane mtapata suluhu. Tuongee kindugu katika fursa hii ya katiba.

hao wazanzibar na akinA JUSSA & SEIF they don't take wa-TANGANYIKA kama ni ndugu moja, jaribu pita kwenye mitandao yao mfano mzalendo.net, zanzibaryetu.com etc halafu uangalie vile wanavyomtukana NYERERE na wanavyowasemea mbovu wa-TANGANYIKA
 
Nao wapemba waondoke kwenye haya maduka mengi waliyonayo huku bara...ila tukitoka hapa tutaanza kujadilii ulipo mpaka halisi wa Zanzibar na Tanganyika, aidha ni katikati ya bahari au kule pembezoni mwa bahari upande wa zanzibar.,na pia jinsi ya kutatua mzozo wa huo mpaka, maana diplomasia haitawezekana, itabidi tutumie nguvu...Africa,,hata lini???

Hivi waafrika tumeishiwa siasa kweli???wakati matajiri wetu wa huko Ulaya wanakazana kuungana na kutengeneza njia rahisi zaidi za inter-national trading kati yao,,sisi tumekazana kutaka kutengana,,hatuwezi hata kujifunza kwa nchi kama china, Japan, USA, Nigeria na India ambazo kukua kwa uchumi wao kumekuwa stimulated zaidi na wingi wao,,which sums down to availabillity of enlarged markets for products produced within the countries,,,ultimately stimulating production and industry growth.

It feels to me, that we did not learn from being colonized,,we can not even begin to contemplate on why the western world is busy supplying arms to African countries so we can fight each other,,,ultimately placing in their arms once again the ability to DIVIDE and RULE us,,,this time though, in a more convenient way,,all because as Africans, we have refused to learn from our old mistakes,,we have refused to be wiser.

Africa...we can be wiser than this!!
 
Seif Sharrif na Jussa wasikie vizuri sana;tupo ambao hatutaki Muungano "wa mkataba"! Kama wao na wale wanaowashabikia wanaona kweli Tanganyika inawanyonya na wanataka uhuru kamili njia iko rahisi kabisa.

Wawaondoe wabunge wao kwenye Bunge la Muungano; waitishe kampeni ya Wazanzibari wanaotumikia serikali ya Muungano kuachia nafasi zao (akiwemo Ghaib Bilal) na wajitangazie "uhuru wao".

Lakini la kwanza ni kwa yeye (Seif) kuacha ziara za kisiasa Tanzania bara na kuamua kuvunja CUF ili chama cha siasa cha Wazanzibari watupu kizaliwe.

Hapo ndio tutajua kweli wanataka kuwa huru. Watoke kwanza wawe na Zanzibari yao halafu ndio watuulize kama tunataka Muungano wowote na wao! Siyo watoke halafu wakati huo huo waamue aina ya mkataba wanaoutaka wao!


LET ZANZIBAR GO!

kumbe na wewendo waleale walokunyuji wa mgonjwa?
 
Back
Top Bottom