Recent content by Ndalahwa Robert

  1. Ndalahwa Robert

    Utapeli mwingine kwa wanaotafuta kazi

    Safiii sanaaa mkuuu, majizi haya hayana hayaaaaa umeyakomoa
  2. Ndalahwa Robert

    PPRA panalipa?

    Vijana wa siku hizi mnataka mishahara mikuuubwaaaa, utendaji kazi fekiiii! Fanyeni kazi kwa manufaa ya wtz na sio huge salary
  3. Ndalahwa Robert

    Ajira za uhamiaji zilizolalamikiwa zafutwa, mchakato kuanza upya

    Hawa watu wanafanya maigizo tu hakuna la maana hapo
  4. Ndalahwa Robert

    TTCL Vacancies: Others

    There is no address for posting appl. letter
  5. Ndalahwa Robert

    Tumshauri

    Acha kumpaka tope mwenzako na sio rafiki yako ila kinyume chake.
  6. Ndalahwa Robert

    Kwa mwenye shida ya mchanganuo wa biashara

    Unatoa ngapi upate unachotaka ndg
  7. Ndalahwa Robert

    House girl is needed

    Natafuta house girl wa kupika, kufanya usafi. Awe na mahali pa kuishi kwani kwangu atakuwa anakuja kufanyakazi, muda wa kazi ukiisha anarudi nyumbani kwake/kwao. Kwa taarifa zaidi tuma rndalahwa@gmail.com au piga simu +255 683 331311
  8. Ndalahwa Robert

    SCI Internal Job Bulletin 18/06/2014

    rndalahwa@gmail.com
  9. Ndalahwa Robert

    Utumishi na Uhamiaji ni cha mtoto

    Hiyo 0.0076% izidishe na 10,000 upate % inanayoisemea. Hii no saw a na 0.0076% × 10,000 = 0.76%
  10. Ndalahwa Robert

    Utumishi na Uhamiaji ni cha mtoto

    Wakala wa seriali na Mamlaka za serikali za Mitaa (MDAs & LGAs) wametoa kali zaidi ya uhamiaji na Utumishi. Wao walitangaza nafasi moja (1) ya Afisa Ugavi Msaidizi II (Assistant Supplies Officer II) tarehe 17 Feburuari, 2014 na tare he 07 Juni, 2014 wakawaita watu 131 kwenye usaili uliofanyika...
  11. Ndalahwa Robert

    Call for interview Tanesco - hro trainee

    Pole sana mkuu, another day be keen with what you are talking and promise to do for a future.
  12. Ndalahwa Robert

    Mahakama intende haki

    Mahakama inayosikiliza kesi ya marehemu mtoto Nasrah itende haki ili liwe funzo kwa wazazi na walezi wenyetabia mbaya na za kiuaji.
  13. Ndalahwa Robert

    Vyuma chakavu vinauzwa

    Nawatangazia wafanyabiashara wa vyuma chakavu kuwa kuna vyuma chakavu vinauzwa. Kwa taarifa zaidi piga simu namba +255 713 57 44 12.
  14. Ndalahwa Robert

    Hotuba ya Warioba Bungeni Dodoma: Jumanne, Tarehe 18 Machi 2014 na Hoja ya Muungano wa Serikali Tatu

    I would like to appreciate good presentation about Tanzania constitution process, it is strong and powerful presentation. It is carrying fully message and reality that spoken out by the Tanzanian when judge Warioba's committee met with them to collect their views. Congrants to judge Warioba's...
Back
Top Bottom