Undisputed
Member
- Nov 8, 2013
- 40
- 11
Wanajamvi nilifanya written intrv tarehe 23 May pale chuo cha Tanesco city centre, na leo mida ya saa kumi na nusu wakati nipo mazoezini nimepigiwa simu kuwa nahitajika kwenye written interview nyingine itakayofanyika Tanesco Mikocheni.
Tatizo ni kwamba nimesahau siku kwani nilikuwa nakimbia kupunguza kitambi so wakati naongea na simu nilisikia kama Alhamisi but kwenye notes nimeandika j5.
Hapa napata utata kwani nimejarb kuwapigia hawapokei. Naombeni msaada wanajamvi kwa mtu aliyeitwa pia anisaidie ni j5 au alhamisi, saa tatu asubuhi?
Nawasilisha
Tatizo ni kwamba nimesahau siku kwani nilikuwa nakimbia kupunguza kitambi so wakati naongea na simu nilisikia kama Alhamisi but kwenye notes nimeandika j5.
Hapa napata utata kwani nimejarb kuwapigia hawapokei. Naombeni msaada wanajamvi kwa mtu aliyeitwa pia anisaidie ni j5 au alhamisi, saa tatu asubuhi?
Nawasilisha