Kuhusu soko la kahama ni sehemu gani hasa ambapo wananunua hizi karanga, soko kuu au? Maana mimi pande za ushirombo hivyo nataka kwenda kulicheki soko then nifate mzigo.
Ndg yangu napenda kukujuza kuwa nimefanya kila namna mpaka kwenda TIC, nimepewa mawasiliano ya awa jamaa ambao ni country representer wa kampuni ya mihogo ya canton investment. Nimeongea nao canton wanasema bado hawajaanza kununua muhogo na wakianza inabidi tuchakate mwenyewe kwanza then ndio...
Habari.
Mwaka jana tuliingia mkataba wa kibiashara na nchi ya china, kuuza muhogo katika soko la china. Naomba mwenye kujua zaidi ni namna gani tunalifikia soko hilo au je kuna wakala hapa Tanzania maana hii ni fursa nzuri kwetu vijana na taifa kwa ujumla.
Habari ndugu zangu,
Ninaomba msaada wa kupata kazi au internship sehemu yoyote hapa Tanzania.
Nina degree ya uchumi na fedha. Pia nina certificate ya micro computer applications.
Nina uzoefu wa miaka 2 katika kazi na nina nidhamu nzuri na siku zote ni mtu wa kufanya kazi kwa bidii.
Mawasiliano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.