Safi Kabisa !
Yeye achape kazi na ataproof wrong at the end of her tenure.
Hii anayoisemasema anajishusha mwenyewe.
SSH, My President ikiwa utapitia hapa leo, Tafadhali usirudie zile kauli za kujishusha na kujilinganisha, Fanya kazi na Kazi itakuinua yenyewe.
Ndaga lelo, Kyala Nnyaafu.
Ngwanakilala,
Nikushukuru mtoa Mada, Uchambuzi mzuri,
Kutokuwa na taarifa na uelewa wa nini ufanye na wapi ufanye imeathiri wengi,
Nina imani hii tafakuri uliyoianzisha itatuletea wabobezi wa mambo ya Business Planning, Finance Management na Risk management ili angalau watu wajue akiwa na mtaji...
Naam, Ni kweli maana Fredrick De Clerk ni kati ya wanafunzi waliosoma Iyunga Secondary School ( Zamani), ambayo ilikuwa shule pekee ambayo watoto wa Kizungu kabla ya Uhuru walisoma pale, Ukiangalia na miundombinu iliyokuwepo pale shuleni utaona upekee wake...
Mlawi kwa sasa ni wale wanaotumika Kanisani, ukichukulia hawana kazi nyingine ya kufanya zaidi ya kutumika Kanisani, hao wanastahili wote kupewa sadaka ya ZAKA..
Siyo feki ila anayehubiri anaweza kuwa feki usijumuishe hivyo, Utakuwa unakwenda kinyume na Biblia, Sema kuna Makanjanja wa Neno la Mungu, hao wasituondolee ukweli wa Maandiko..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.