Mchoraji wa picha hii ya Raisi Samia Suluhu Hassan apewe alama ngapi?

hakuna fani ninayoipenda na kuitamani tangu udogo kama kuchora, ajabu Mwenyezi Mungu hajanipa uwezo wowote unaohusiana na kuchora.... yaani hata mstari, tena kwa kutumia rula, huwa nashindwa kuuchora vizuri!
 
Back
Top Bottom