Recent content by nchwebe milinga

  1. nchwebe milinga

    CCM inao wanachama milioni 8 na usheee, CHADEMA inao Wanachama wangapi?

    mkavae madela yenu tushawachoka sasa
  2. nchwebe milinga

    Wasifu (CV) ya Dr. John Pombe Magufuli

    DUNIA TUNAPITA TU FITINI WENYE HAKI UKISUBIRIA MOTO ULE...............TUTAHESHIMIANA MBELE YA SAFARI
  3. nchwebe milinga

    Uhakiki wa Vyeti: Bandarini nako kwawaka moto

    WAKIMALIZA KUHAKIKI WATAWAFUKUZA WALIOFOJI VYETI HALAFU WATAWAAJIRI WENYE WANA CHOCHOTE MFUKONI.....SASA TUNAFANYA NINI.....BORA WASIHAKIKI TU TUENDE IVOIVO KWANZA WASHAKULA
  4. nchwebe milinga

    Polisi waweka ulinzi mkali Dodoma

    TURUDI KIJIJINI SASA MAANA DEGREE ZETU ZINAOZEA MJINI.......
  5. nchwebe milinga

    CUF kuwaburuza Dr. Shein mahakama ya uhalifu wa kivita

    MSHACHELEWA LABDA SIJUI NGOJA TUJARIBU KUONA.........
  6. nchwebe milinga

    Kuna wizi mkubwa katika matumizi ya kadi ya mabasi ya mwendo kasi

    UNAKOSEA ndugu wizi upo kila sehemu huo wa mabasi kama kweli upo basi wanaigiza kufanya wizi ila wizi wenyewe upo...
  7. nchwebe milinga

    NSSF, BOT, Bandari, TRA, Bunge, PSPF ajira zitenguliwe

    MASIKINI SHAMBA NDYO HATMA YAKO HAKUNA JIPYA MI MWENYEWE NIMEONA NIFANYE KILIMO AJIRA NI STRESS NCHI HII NA KAMA HAUNA KITU NDYO MAUMIVU MAKALI...............
  8. nchwebe milinga

    Waziri Charles Mwijage awasimamisha kazi Mkurugenzi wa TBS pamoja na Meneja wa Fedha

    ni vema hapo nchi inaweza kupiga hatua kwa kuwatoa watumishi ambao bado wanaisababishia nchi hasara kubwa,,,
  9. nchwebe milinga

    Swali: Wahindi wamesaidia kupandisha uchumi wa Tanzania au kuua?

    tusubirie tuone kitakachofuata......
  10. nchwebe milinga

    Magufuli: Kuna mtu alikuwa anahamisha kati ya Tsh milioni 7-8 kila dakika. Yuko mikono salama...

    ni kweli mh Dk Magufuli nadhani alimaanisha ivo,sema tungoje ufafanuzi wa kina
  11. nchwebe milinga

    Swali: Wahindi wamesaidia kupandisha uchumi wa Tanzania au kuua?

    lazma kutafuta management nzuri ndyo vijana mnaweza kuungana ila tatizo kubwa ni kukosa imani na tunachokifanya....vitu vya kufanya vipo vingi sana.....sema tatizo ni kutegemea ajira na ajira zenyewe unapata kwa muhindi..........atakunyonya tu kwa kuwa ajira zenyewe ni ngumu na lazma ukubali...
  12. nchwebe milinga

    Swali: Wahindi wamesaidia kupandisha uchumi wa Tanzania au kuua?

    uwekezaji bado ni shida kwa watz walalahoi labda mfumo wa kodi uangalie hao watu wa chini namna gani ya kuwasaidia,tunajua fursa ni nyingi lakini mpaka uifanikishe hiyo fursa uliyoiona tayari mwili mzima una mijasho mwili mzima labda tushikamane vijana tufanye research tujue namna gani tunaweza...
  13. nchwebe milinga

    Swali: Wahindi wamesaidia kupandisha uchumi wa Tanzania au kuua?

    pia kwa watz imekuwa rahisi sana kusalitiana kwa mambo mengi sana ndyo maana vitu vingi sana ni rahisi kuyumba......mifano ipo wahindi wengi kariakoo huwafanyisha kazi nyingi sana watanzania na kuwalipa kidogo na watz tulivyo wavumilivu tunakaza kwa kuwa ndyo tunakotafutia mitaji yetu ili...
Back
Top Bottom