Recent content by Nchikavu

  1. Nchikavu

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Manyumbu, Luton ndo size yenu sasa, napo tunajua hamshindi kinyonge, mwendo wa kupishana tu mwanzo mwisho
  2. Nchikavu

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Tia Fofana, tia Zubimendi, tia Luiz, tia Toney, watakavyocheza kocha anajua
  3. Nchikavu

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Watuletee Carzola hapo
  4. Nchikavu

    Wanawake mna roho ngumu sana

    Changamoto wapumbavu wanazeeka pia
  5. Nchikavu

    Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

    Changamoto hakuna proof yoyote yenye mantiki ya kuthibitisha kama Mungu yupo, na ukisema Mungu hayupo, unawaza Tena chanzo uhai ni nini au hizo terrestrial bodies zilianzajeanzaje. Kuna kitabu fulani Cha cathocism, kina maswali mengi na majibu yake. Moja ya swali linahusu kuthibitisha kama...
  6. Nchikavu

    Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

    Na hapohapo unajiuliza kama kweli Mungu anataka watu tumuelewe, kwanini atumie lugha ya mafumbo?
  7. Nchikavu

    Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

    Kuhusu Dunia au other heavenly bodies in the universe kuzunguka bila kugongana, umejuaje kama hazijawahi kugongana hapo kabla?? Inawezekana hizo bodies ziligongana sana hapo mwanzo, Hadi ikafika kipindi Bodies zote Zika obey kanuni Fulani ambayo ilikuwa strong. Pia hadithi za biblia kuhusu...
Back
Top Bottom