Hii serikali inachofanya sio fair kabisa kukata mshahara wa mtumishi elfu 20,000 ni hela nyingi sana waache kutuonea kabisa increment hakuna tumeridhika halafu unaamka unakata 20 kama sio uonevu tu.
Yeye nani alimtuma aende kucheza hovyo harus za watu si angeenda disko wawe na nidhamu na miili yao akomeeeee wanacheza kwa sifa wanataka nini kama sio kupostiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.