Mshahara wangu umekuja pungufu

Mshahara wangu umekuja pungufu

Hii serikali inachofanya sio fair kabsaaa kukata mshahara wa mtumishi efu 20000 ni hela nying saanaa waache kutuonea kabsaaa increment hakuna tumeridhika afu unaamka unakata 20 kama sio uonevu tu
Elf ishirini imekweda wapi
 
Mkuu hii itakuwa kashfa kubwa na haitakubalika..watatekana watu taasisi yako gani
 
Hii serikali inachofanya sio fair kabsaaa kukata mshahara wa mtumishi efu 20000 ni hela nying saanaa waache kutuonea kabsaaa increment hakuna tumeridhika afu unaamka unakata 20 kama sio uonevu tu
Mzee sio umekatwa tozo ya Crdb ile ya kila mwanzo wa Mwaka
 
Hii serikali inachofanya sio fair kabsaaa kukata mshahara wa mtumishi efu 20000 ni hela nying saanaa waache kutuonea kabsaaa increment hakuna tumeridhika afu unaamka unakata 20 kama sio uonevu tu
Kumbe wameanza hvyo tena?
 
Hii serikali inachofanya sio fair kabsaaa kukata mshahara wa mtumishi efu 20000 ni hela nying saanaa waache kutuonea kabsaaa increment hakuna tumeridhika afu unaamka unakata 20 kama sio uonevu tu
Kuwa mpole! Tumekata kwa ajili ya vile vishkwambi tulivyo wagawia mwezi hui. Kama hujapata cha kwako, basi ni bahati mbaya sana. Wenzako watakuwakilisha.
 
Back
Top Bottom