Hata kuhoji hawataki, hao wanachama walimdhamini lini na wapi? Kama wadhamini walimdhamini CCM sio chadema, na walikuwa laki 8 hebu jifunzeni hata kuhoji tu nyinyi bavicha
Japo kuwa siwapendi chadema na kura yangu siwezi kuwapa Hata siku moja,
Lakini nina mashaka na hii habari au movie hii maana ccm nao ni majambazi wanafiki wanaoweza kutengeneza lolote kuaminisha watu, hii habari haina kabisa uhalisia ni njia tu ya kutunga, watu 5 wameshaandikishwa walikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.