Haukuwepo kwenye kikao chetu wanaume tulikubaliana hakuna kushika simu ya mwanamke wako na yeye asishike yako
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Pole sana pambana kulea watoto achana na mambo ya kuolewa hakuna mwanaume mwenye akili timamu ataoa mwanamke mwenye watoto watatu kwani atakuwa kabeba mzigo mkubwa sana ambao haumuhusu ndo maana ameamua kujiengua mapema tu
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Iyo asilimia 67 utalipwa kila mwisho wa mwezi na ikitokea umekata moto familia yako italipwa iyo hela ya mwezi kwa muda wa miaka mitatu tu baada ya hapo hawatakuwa na chao tena
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mtumishi ana haki ya kujiunga na chama chochote cha wafanyakazi kwa hiari yake bila kushurutishwa hivyo ni haki yako ya msingi kuchagua kati ya Cwt au chakamwata na unapaswa kukatwa mara moja tu na sio mara mbili
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.