Recent content by Nazjaz

  1. Nazjaz

    JamiiForums Tanzania Mimba imenifanya nichukie kuoga

    Pata mimba wewe, ndio ujue mimba si lelemama
  2. Nazjaz

    JamiiForums Tanzania Mimba imenifanya nichukie kuoga

    Tabia inaa za lini?
  3. Nazjaz

    JamiiForums Tanzania Mimba imenifanya nichukie kuoga

    Sijasema kwaamba siogi
  4. Nazjaz

    JamiiForums Tanzania Mimba imenifanya nichukie kuoga

    Yaani naoga basi tu ili iwe mradi. Nimetokea kuyachukia kabisa maji ya kuoga. Ambaye amewahi kukutana na kadhia hii anajulishe alivukaje? Mimba ina wiki 10
  5. Nazjaz

    JamiiForums Tanzania Khalifa Said jina lako linajadiliwa muda huu mezani kwa yule ‘Msabato Asiyejulikana’

    Aliye karibu na mwandishi huyu wa The Chanzo, analiwa timing ili atokomezwe.
  6. Nazjaz

    JamiiForums Tanzania Khalifa Said jina lako linajadiliwa muda huu mezani kwa yule ‘Msabato Asiyejulikana’

    Aliye karibu na mwandishi huyu wa The Chanzo, analiwa timing ili atokomezwe.
  7. Nazjaz

    JamiiForums Tanzania Kwanini muujiza wa kwanza wa Yesu ulikuwa kubadilisha maji kuwa divai na sio kutengeneza Biblia?

    Sasa ndio uache kupotosha kwamba Yesu alitengeneza juice. Bado unaishi Sobodo?
  8. Nazjaz

    JamiiForums Tanzania Kwanini muujiza wa kwanza wa Yesu ulikuwa kubadilisha maji kuwa divai na sio kutengeneza Biblia?

    Je unafahamu kwamba Biblia ilitafsiriwa kwa Kingereza kutoka kwenye Kigiriki?
  9. Nazjaz

    JamiiForums Tanzania Kwanini muujiza wa kwanza wa Yesu ulikuwa kubadilisha maji kuwa divai na sio kutengeneza Biblia?

    Umetudanganya. Huu ni maandishi ya Injili ya Yohana 2:9 katika Kigiriki cha Agano Jipya (Koine Greek): καὶ ὡς ἐγεύσατο ὁ ἀρχιτρίκλινος τὸ ὕδωρ οἶνον γεγενημένον, καὶ οὐκ ᾔδει πόθεν ἐστίν, οἱ δὲ διάκονοι ᾔδεισαν οἱ ἠντληκότες τὸ ὕδωρ, φωνεῖ τὸν νυμφίον ὁ ἀρχιτρίκλινος. Uchanganuzi wa maneno...
  10. Nazjaz

    JamiiForums Tanzania Je, unayafahamu maneno haya? Ni lugha gani?

    In Zimbabwe, people commonly call avocados "avocado," "avo," or "makotapeya" (derived from the English word) in the Shona language. Names for Avocados English/Common usage: Avocado or simply "avo" in everyday speech. Shona: Makotapeya (or kotopeya).
Back
Top Bottom