Recent content by Nazjaz

  1. Nazjaz

    Serikali imdhibiti Maulid Kitenge na kundi lake la wahuni wanaojiita Wasafi Jogging Group

    Wanavuta Moshi wote wa magari, baadae wanaanza kutuomba michango wanaugua magonjwa ya mapafu
  2. Nazjaz

    Serikali imdhibiti Maulid Kitenge na kundi lake la wahuni wanaojiita Wasafi Jogging Group

    Naborekaje ninavyowakuta wametanda barabara mzima na hawataki kukupisha, huku wakililazimisha gari lako liende Kwa speed Yao?
  3. Nazjaz

    Yuko wapi Aboubakar Mchagga mtaalam wa kupika pilau Dar es Salaam?

    Hata mimi nakumbuka akiwa Kibasila na hata Suwata nilikuwa namwagiza dereva wangu mahotpot, hasa nikitembelewa na rafiki yangu Jemima na boyfriend Eliya enzi hizo kabla hawajaoana
  4. Nazjaz

    Dawa kutibu bawasiri

    Viashiria vya mtu kutapeliwa
  5. Nazjaz

    Kumtenganisha Mbowe na CHADEMA haitawezekana kamwe

    CHADEMA ni Jiwe waliololikataa waashi, nalo limekuwa Jiwe kuu la pembeni
  6. Nazjaz

    Kama nyama ni ilele, kwanini wanawake wengi hupenda wanaume wenye uume mkubwa?

    Halafu linalala tu, hata ukilishitua, linashtuka kidogo kisha linarudi kwenye usingizi wake mzito
  7. Nazjaz

    Wakatoliki boresheni Ibada zenu

    Kuanzia lini ibada ya kimizumu ikaboreshwa?
  8. Nazjaz

    Kwanini Pepsi imeadimika mtaani? Je chanzo ni umeme, maji na sukari?

    Tena sio togwa ni kangala yenye utamu
  9. Nazjaz

    Kwanini Pepsi imeadimika mtaani? Je chanzo ni umeme, maji na sukari?

    Watu wa Mongo la ndege wanakujua kwa Eddo? Msasani ni kata bora zaidi nchini Tanzania
Back
Top Bottom