Recent content by Nazjaz

  1. Nazjaz

    Nitajuaje mwanaume anayenitongoza anatumia akili yake au ndio unatumia akili mnemba Chat GPT?

    Jamani this is my very silly question, nisije nikawa natongozwa na katoto ka miaka ya elfu mbili mie... In this age of artificial intelligence we have to be more than smart.
  2. Nazjaz

    Profile za Wana JamiiForums mbalimbali kwa mujibu wa akili mnemba/ akili unde/ akili kinyanyamshenzi

    Jina kama Bujibuji Simba Nyamaume kwenye JamiiForums linaonekana kuwa la kubuni, lenye mchemko wa ucheshi na uzito wa "kiume" uliotiwa chumvi kwa makusudi. Kwa hivyo, kama tungejaribu kumwelezea kwa muonekano wa kufikirika, unaweza kumwona kama: Mtu mwenye mwili mkubwa na wa misuli (kama...
  3. Nazjaz

    Huyu mwamba alifuata nini kwenye mkutano mkuu wa Umoja wa Mataifa?

    Huyu anajiyambua sana, Lucas Mwashambwa angejifanya yeye ni mzungu kuliko wazungu wenuewe
  4. Nazjaz

    Ukizingua, Kikwete haku-deal na watu, ali-deal mtu

    Empty set. That is true color of CCM members
  5. Nazjaz

    Kesi ya mwanachuo Mary na wenzake kusikilizwa leo

    Watiwe mimba wazae kwa uchungu
  6. Nazjaz

    Raia kupewa Haki Miliki juu ya Mwili na sura zao ili kupambana na Video na Sauti za kughushi

    MamaSamia2025 akasema kifo ni kifo tu... Akaenda mbali zaidi kusema matukio ya watu kutekwa ni drama tu.
  7. Nazjaz

    GE2025 Petro Ntagira (mwanafunzi MUST) achukua fomu kugombea Udiwani Iyunga, Mbeya

    Wapi papaa Joshua Mbilinyi mutu ya vitendeakazi tiba?
  8. Nazjaz

    Ukizingua, Kikwete haku-deal na watu, ali-deal mtu

    Niki deal na wewe imeisha hiyo
  9. Nazjaz

    Ukizingua, Kikwete haku-deal na watu, ali-deal mtu

    Hajaropoka, alinena vyema.
Back
Top Bottom