Recent content by Nazareth

  1. Nazareth

    Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

    Laki 7 hachukui payments ya miezi 12?
  2. Nazareth

    SoC01 Umuhimu wa kuwa na Dira ya Maendeleo ya Taifa inayotekelezeka kwa wakati na kwa kuzingatia rasilimali zilizopo

    Ilani ni kama propasal ama ushawishi unaobebwa na chama husika but utekelezaji wa ilani ndio mtihani kila kiongozi anakuwa na maono,elements na nature yake alioswitch kwenye ubongo jinsi ya kuongoza kama ulivyoanisha apa juu kwenye chapisho lako huyu alifanya vile na huyu anafanya hivi mfano...
  3. Nazareth

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Ongeza hela kidogo nikuachie s6 edge+ ram 4gb
  4. Nazareth

    Wanaume msiokunywa pombe acheni majungu. Tunaokunywa tunawazidi kila kitu kuanzia pesa hadi maisha; njaa zenu zisiwape viburi, hamna chochote

    Mimi domo zege ila kvant ndogo na vibia 6 ata aje neyonce wa jigga mbele yangu lazima niteme mistari na cha ajabu madem wengi nliwatongoza nikiwa bwax hawachomoki
  5. Nazareth

    Fundisho gani umechelewa kulijua maishani ila ulimwengu ukakufunza? Mimi ipo hivi, wewe je?

    Ndugu zangu wa baba mmoja mkiona sipokei Simu zenu au tukikutana mkiona tukikutana mahali nimejitenga sina time na nyie kama nakosea mnisamehe lakini kwangu neno kuu na msimamo ni palepale kwamba"HAPANA NDIO BASI TENA"
  6. Nazareth

    My confession: Hornet is Positive

    Hornet kwa kiswahili ni HONI ni ishara ya tahadhari why ulijiachia ukahisi utakuwa safe my dear kumbuka plz trust no body halaf wengi humu wamakomaa na HIV hawaulizi maybe ulimevaa gono ambalo sio ishu kivile...... Be Strong
  7. Nazareth

    Mention someone without any reason just to disturb them

    Watu wenye akili nyingi kama Da'Vinci @LifeOfCoded @DaudMchambuzi kuonekana hapa ni nadra sana ila wale wa kula tunda kimasihara ndio wamejazana since page #1
  8. Nazareth

    Mention someone without any reason just to disturb them

    Hahaha w'end hii jamani labda kwenye simu ka turn on do not disturb anawachora tu
  9. Nazareth

    Najiuliza kwanini wanaume mahandsome hawana hela?

    Mara nyingi ni kuona aibu kufanya Kazi zisozo eleweka japo nyingoli huwa na maslahi kidogo
  10. Nazareth

    Mention someone without any reason just to disturb them

    Nfikishie ujumbe kwa Dinazarde mwambie kuna kiumbe anamkubali na kumuelewa basi tu akiulizwa sababu hata hajui
  11. Nazareth

    Mention someone without any reason just to disturb them

    1.Civil Engineering 2.Home Workouts 3.God Over Everything 4.Business planning & drinking alcohol 5.Never end @UseBrainHeriel jibu lako hilo.Post 424
  12. Nazareth

    Mention someone without any reason just to disturb them

    Ujumbe una dedicate kwa warumi au maana ye yupo humu kazi Burr ii kwa ajili umbea sio kupata skills au knowledge yotote......I'm ready kwa kuchambwa
  13. Nazareth

    Mention someone without any reason just to disturb them

    Nimeshtuka nilivyoota mnazareth nkajua ni mimi wa JF way back toka nipo secondary tukibaa shikamoo hapa nami hapa sidhani km ntakosa wadogo zangu
  14. Nazareth

    INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

    Nishachukuwa namba zako tayari vizuri ni kwamba mwezi ujao nna matarajio ya kuja Morogoro lengo kuu ni kuwekeza kwenye ardhi hasa Mashamba so sitotaka yakae bure i hope itanisaidia katika ushauri wa kilimo na mambo mengine
Back
Top Bottom