zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,855
Usijefanya visa mimi na wivuSawa sitabadilika
Aawww🤗🤗🤗😍 😍 😍 😍 😍 🥰
💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘
Usijefanya visa mimi na wivu
Na moyo utaniumiza mimi na wivu
Naogopa watakuteka mimi na wivu
Sitaki nile mbichi wao mbivu


Hahaaa Leny imekaa bomba piaKajina kako tena tunaweza kafupisha zaidi uwe Leny![]()
Jana, leo na kesho nitabaki kua good girlUsijefanya visa mimi na wivu
Na moyo utaniumiza mimi na wivu
Naogopa watakuteka mimi na wivu
Sitaki nile mbichi wao mbivu
Brain Heriel mbona unamtag kwenye comment yangu

Nimeshtuka nilivyoota mnazareth nkajua ni mimi wa JF way back toka nipo secondary tukibaa shikamoo hapa nami hapa sidhani km ntakosa wadogo zangu
Jana, leo na kesho nitabaki kua good girl
Amen rafiki,Soulmate ,ubarikiweJisikie huru kabisa kunidistabu soulimeti. Roho zetu zimeshonanishwa kimalimwengu na kinachokudistabu wewe ni lazima kitanidistabu na mimi pia. Na kwa vile kinatudistabu wote katika kiwango cha roho na urazini, basi kunidistabu kwako ni faraja kubwa sana kwangu![]()
Hapana. Leny ni jina la kiume. Mnakoelekea siyo kwenyewe sasaHahaaa Leny imekaa bomba pia








Ohoo kumbe! Akili za usiku hizi😛Hapana. Leny ni jina la kiume. Mnakoelekea siyo kwenyewe sasa![]()
Nawasumbua tu. Yawezekana lipo kote kote. Kuna mchezaji mmoja wa Simba alikuwa akiitwa Ramadhan Leny (RIP). Nimetolea reference kwa huyu mmoja tu....Ohoo kumbe! Akili za usiku hizi![]()
Hili litakua refu sana sasahaya Eleny sasa