mimi ni kijana wa umri wa miaka 23,mpenzi wangu ni bikira mara nimemvulia kwa kipindi kirefu toka akiwa na miaka 20 mpaka sasa ana miaka 23 tatizo kila nikijarbu kusex nae anadai anaumia sana hadi kupelekea hamu kuisha na huwa namuandaa kwa muda mrefu sana zaid ya dk 30.msada ndugu zangu...
rafiki yangu ana umri wa miaka 23 lakini ana tatizo la kupiga punyeto,anadai amejitahid sana kujaribu kuacha lakin ameshindwa na anauweza kupiga hata mara 3 kwa siku pia imepelekea mpaka kukosa hamu ya kuwa na msichana kabisa.msada wenu jaman afanyaje aweze kuacha kupiga nyeto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.