Kwa buu Mtiririko wa riwaya, Zitto na Maalim seif ndio waliotumika kama njia kuu ya uchavushaji,Zitto alikua anajua kinachoendelea but Maalim alikua zuzu na ndio wa kwanza kuathirika na kilichowekwa kwenye documents.......niko usingizini au naota aaagggggrrrr kumbe ni saa 1 na dakika 41 asubuhi.
Kama laki 5 haitafika wiki ya pili unadhani 370,000 inafika siku 3? mantiki ya kushangilia ipo machungu wanayajua wao na unafuu pia wanaujua wao,waache washangilie kiroho safi.
Tunapoelekea uchaguzi Mkuu na kuvunja bunge na serikali,hawa ndio mawaziri wangu bora,ukimtoa Waziri Mkuu mzee wetu Meja.
1. Juma Aweso waziri wa maji haitaji kuelezewa sana kazi yake inaonekana.
2. Innocent Bashungwa huyu ni kiraka anafit wizara yoyote utakayompa he's very Giniasi
3. Dotto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.