""Sasa, Msimamizi Mkuu wa mgodi na watu wake wanajitathimini na kuangalia namna na kustopisha kuchukua morani wapya ili kutathimini namna ya kupata wataokuwa waaminifu kwao, maana wangecheza kidogo tu baadhi ya morani huenda wangechukua mgodi na kuungana na wafanyakazi, sababu nao wamechoka""...
Ndio maana watoto wake hawapewi vyeo vikubwa vikubwa serikalini mana hawana akili timamu,si unamuona hata bwana Supu ya Miguu mambo yake ya hovyo hovyo tu hata aliyempa hiyo nafasi anajuta.
Kijana mtiifu wa mamvi,mgomvi mkubwa wa yule ngosha aliyepigwa pini kugombea kupitia zambarau.
Au tuseme yule jamaa aliyetupiga kwenye kuingiza timu ya mtibwa na kagera kwenye ligi kuu.
Bosi wake pia ana chimbo kali sana la kula Roast tamu pale mtoni kwa Azizi Ali.
Bwana mdogo kuna vitu vingi sana huvijui,na pia akili ya kutafakari huna.
Ngoja nikupe home work ndogo sana: Je,kwanini TEC wanaweza kuichezea serikali wanavyotaka na hawaguswi ila vitaasisi kama wakina gwajima au Kakobe wao wakileta kamdomo wanashughulikiwa mara moja? kwavile hauna akili najua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.