Recent content by natra

  1. natra

    Becoming by Michelle Obama

    Habari naomba msaada nahitaji hiki kitabu na pia cha I will I can aje inbox anijuze bei na pia namna ya mimi kunifikia.asanteni Sent using Jamii Forums mobile app
  2. natra

    Mtaji kiasi gani unatosha kuanzisha biashara ya vifaa vya ujenzi

    Habari zenu wadau wenzangu...kwa wale wazoefu na wanaojuwa naomba kujuzwa juu ya mtaji kias gani cha chini mtu aweze kufungua super market au hard ware..inahitajika shiling ngap? .je mtaji mkubwa aandae kiasi gani ukitaka kufungua hard ware au supermarket....asannteni
  3. natra

    Msaada jinsi kujua kuongea na kuandika kiingereza kwa ufasaha

    asanteni za ushauri wenu..nafanyia kazi
  4. natra

    Msaada jinsi kujua kuongea na kuandika kiingereza kwa ufasaha

    Habari zenu wana jamvi naomba msaada kwa anaeweza kunipa njia za kujua vizuri kiingereza kwa njia za kusoma online .Muhimu nahitaji sana kujua kiingereza kusoma, kuongea na kuandika..asanteni
  5. natra

    Niulize chochote kuhusiana na biashara, masoko na mauzo

    mimi nahitaji kuwa wakala wa maxmalipo..naomba kuelekezwa juu ya upatikanaji wa izo machine...na ufanyaji wake wa kazi...vp juu ya faida zakeee...je napata faida juu ya hasara zake je iko vp
  6. natra

    Ushauri kuhusu biashara ya kuuza vinywaji vya aina zote (Vikali na vya kawaida)

    Habari zenu wadau kwa wale wenye uzoefu naomba kujua je biashara ya kuwa wakala wa vinywaji. Mfano maji ya Kilimanjaro, Dasani, Masafi..au soda za kampuni ya Pepsi Cocacola. Je, zinalipa na je risk zake ni zipi? Asanteni
  7. natra

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    unapotaka kufanya chochote uvumilivu kama hutojali fuga kuku wa kienyeji anza na tetea 5.jogoo 1
  8. natra

    Fursa za biashara kwa kila mkoa hapa nchini

    Habari zenu wadau ...naomba kujuzwa fulsa zinazopztikana chato au hata viji.maeneo jirani na hayo........asanteni
  9. natra

    Biashara zipi zinafaa kufanya kutoka Zanzibar kuja Dar es salaam?

    Mfano hii biashara ya tv..radio..computer used mtaji kianzio kama sh ngapi
  10. natra

    Biashara zipi zinafaa kufanya kutoka Zanzibar kuja Dar es salaam?

    Dagaa aina gani gani...yani wananunulika nkitoa bongoland kwenda zanzibar au zanzbr kwenda bongoland
  11. natra

    Biashara zipi zinafaa kufanya kutoka Zanzibar kuja Dar es salaam?

    Naskia kuna baadhi ya biashara ukitoa zanzibar kuleta bongoland..zinalipa saana...n pia kuna biashara ukitoa bongoland kupeleka zanzbr kuna faidaa...ninaomba kujuzwa juu ya hilii kwa yeyote anaefahamu...juu ya aina ya biashara.....mtaji wa kuanzia etc....nawasilisha asanteni.
Back
Top Bottom