Recent content by Nathan Justine

  1. Nathan Justine

    Clouds Media Group watangaza kusitisha tamasha la Fiesta Dar

    Leo majira ya saa 5 tulipata taarifa za kuairishwa kwa Tamasha kubwa la Muziki Tanzania. Tujadili hapa,kuahirishwa kwa tamasha hili kuna athari gani kwa wasanii,wadhamini,wapenzi wa muziki,wafanya biashara na wadau wa Muziki kiujumla
  2. Nathan Justine

    PICHA: Ndege mpya ya ATCL aina ya Airbus A220-300. Yaandikwa ''Dodoma, Hapa kazi tu''

    Mifukoni hali zetu ni mbaya kupita maelezo,sasa hii midege mnayotuletea sijui wapande kina nani?
  3. Nathan Justine

    Kufuatia tangazo la Serikali kuhamia Dodoma, natabiri haya..

    Habari za muda huu wakuu. Najaribu kujiuliza pindi serikali itakapohamia Dodoma,Je kuna Fursa za kiuchumi zitakazoongezeka na kuwapunguzia umaskini wananchi wa mkoa ule?
  4. Nathan Justine

    Ugwadu! Kiboko ya mchawi

    Kaka kama nimiikata giyo ndimu na kuiweka chini ya mto huo mto c utalowana kwa yale maji maji ya ndimu?
  5. Nathan Justine

    Maono: Sumaye ndie mwenyekiti ajae wa CHADEMA na ndie Rais ajae wa nchi hii

    Mkitaka CCM isginde kwa ushindi wa asilimia 99.9 msimamisheni Mr Zero kwenye nafasi ya Urais
  6. Nathan Justine

    Kwa zilizonifikia za chini ya kapeti muda si mrefu zinasema huenda...

    Ahahahaaaaaa......!!. Jerry Muro huyu huyu??!!. Labda azaliwe upya
  7. Nathan Justine

    Uwanja wa Fisi - Dar

    Wala hujakosea kaka,hapo mizoga imejaa tele,wale waroho wa vitoweo hapo ndipo wanapoponea njaa zao.
  8. Nathan Justine

    Nini mtazamo wako kuhusu Clouds FM kuiga ubunifu wa E-FM?

    Radio nyingi za Tz zinaugana kwenye mambo mengi. Yaani ukianza kusikiliza vipindi vya radio tofauti tofauti tangu asubuhi hadi jioni huwezi kutofautisha. Ni kama umesikiliza radio moja.
Back
Top Bottom