Recent content by natamba

  1. N

    Traffic Anapochukua Leseni Yako, Nini cha Kufanya?!

    dawa yao ni kuwabamiza makofi, uzuri kama vijjn huwa wanajibanza kwenye vikona hivi tena hawana siraha, akikuletea za kuleta tia makofi ndo dawa ya kuzuia rushwa. hawa jamaa kwa rushwa wanaongoza
  2. N

    Sababu za kuikataa CCM Kagera hizi hapa

    MASSAWE alipowashutukia wakamtimua. Ila jamaa alikuwa jembe! Sijui yuko wapi sasa.
  3. N

    Kikwete afanya mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa: Mulongo ahamishiwa Mwanza; Masawe wa Kagera aondolewa!

    fabian massawe ni katapila, sululu la nguvu. ile ni mashine, ila ndo ivo ukichapa kazi wengine wanaomfikia mkuu wanakwenda kukulima.
  4. N

    Naomba msaada jinsi ya kupata Laptop drivers

    Wataalam nisaidie namna ya ku update drivers za laptop bila kununua cd. Tusaidie link na if possible lisense key za kufungulia drivers. mi ninejaribu smart driver updater wakataka lisense key nikakwama!
  5. N

    Makato ya pesa kwa ajili ya ujenzi wa Maabara za Sekondari

    kisheria hawaruhusiwi kukata mshahara wa mtumishi bila ridhaa yake.
  6. N

    Nitawezaje kufanya Wireless internet connection kati ya simu na laptop

    inayo hotspot wireless. nimeiweka on ila kwenye lap top sijui niende wapo ku connect
  7. N

    Ngozi ya mtoto mchanga

    Habari wakuu, Kwa nini mtoto mchanga aliyezaliwa anakuwa na ngozi kama ya wazungu na baadae anakuwa mweusi, lakini watoto wachanga wa wazungu hawabadiliki kuwa weusi. Ikoje kitaalam.
  8. N

    Nitawezaje kufanya Wireless internet connection kati ya simu na laptop

    wataalam tusaidieni step by step za kutumia laptop kujipatia wireless internet kutoka kwenye simu ya mkononi bila kutumia moderm au usb cable. mi simu yangu ni itel version 2.3.5 na laptop ni acer hdd 500 gb, ram 2 gb.
  9. N

    Wanakagera tukizingatia haya tutatoka

    wazo la mtoa mada safi sana, lakini baadhi ya wachangiaji.... labda nyerere arudi tuanze EWW, maana hii ya drs la saba haijasaidia. changia mawazo ya kutatua changamoto si matusi.
Back
Top Bottom