Nitawezaje kufanya Wireless internet connection kati ya simu na laptop

Nitawezaje kufanya Wireless internet connection kati ya simu na laptop

natamba

Member
Joined
Jun 18, 2014
Posts
11
Reaction score
0
wataalam tusaidieni step by step za kutumia laptop kujipatia wireless internet kutoka kwenye simu ya mkononi bila kutumia moderm au usb cable. mi simu yangu ni itel version 2.3.5 na laptop ni acer hdd 500 gb, ram 2 gb.
 
Je simu yako ina hotspot wireless?

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Kuna hotspot apps nyingi tu Google play, na ni free
 
Ingia katika seting ya simu yako zen tafuta network>more>hotspot>configeration account baada ya hapo nenda kwenye wifi ya laptop yako washa kisha itadetect hotspot ya sim yako baada ya hapo fanya yako sasa
 
inayo hotspot wireless. nimeiweka on ila kwenye lap top sijui niende wapo ku connect
 
Kwenye laptop nenda panel control halafu Internet connection
 
inayo hotspot wireless. nimeiweka on ila kwenye lap top sijui niende wapo ku connect

Nenda pale chin kwenye icon ya betri utakutana na icon ya internet connection click hapo ila hakikisha kuwa wifi ya laptop yako iko ON kwanza ili iweze kudetect network ya sim yako kisha connect fanya yako
 
Back
Top Bottom