Wanakagera tukizingatia haya tutatoka

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,770
7,123
Mkoa huu ni kati ya mikoa ilijaliwa sana kuwa na mazingira mazuri ya kilimo, ufugaji, uvuvi, utalii na mazoa ya misitu.

Kagera imekubwa na matatizo mengi sana makubwa hasa janga la vita na ukimwi. Haikuishia hapo, wakazi wa mkoa huu wamepigwa sana vita vya ukabira na chuki nyingi sana ikatufanya kuwepo mdororo wa kielimu. Ilifikia wakati unajiandikisha majina yote bila kuweka la ukoo, ili kuwepa panga la wasahahihisha mitiani.

Janga lingine upungufu wa chakula bora chenye protini hasa mazoa ya samaki, maziwa na Nyama.
Tujikumbushe, zamani palikuwepo samaki aina mbalimbali wenye virutubisho vingi hadi sasa hata majina yamesahaulika tukaletewa samaki mla samaki kawamaliza wote hizi fitina.
Serikali au kwa makusudi au bahati mbaya ilihakikisha haipeleki ruzuku kwa wakulima wa kahawa, wala haipeleki madawa kwenye majosho. Ng'ombe walikufa sana kutokana na magonjwa mengi, kupe n.k
Kumbuka kuwa ng'ombe ilikuwa nguzo Kuu kiuchumi na kijamii. Tulipata mbolea ya kutosha hadi tulikuwa tunagawa bure, tulikunywa maziwa sana, tulikuwa na Nyama ya kutosha hadi ilikuwa haiuuzwi. Ngozi zilikuwa na matumizi mengi hata kwa matumizi ya mboga (okuoka ekikoba ) migomba ilistawi vizuri kutegemea mbolea hii ya asili.

Ufugaji ulitoa ajira nyingi kwa vijana japakuwa kulipana ulikuwa unapewa mifugo badala ya fedha.

Miti mingi ya mihumula ilistawi sana kutokana na mbolea na ilikuwa rafiki wa mazingira.

Hasara tulizozipata baada ya majanga haya
Magonjwa mengi nyemelezi na afya mbovu. Siku hizi uwezi kuoana hata wawindaji kwani hakuna mwenye nguvu kufukuza Nyama.

Kusuka kiwango cha ufaulu.
Kutokana na kukosa Milo kamili hivi sasa hatusifiki tena kuongoza kiakili labda walipkimbia majanga haya.

Wivu majungu kuongezeka kutokana na kupishana sana kati ya aliyenacho na asiyenacho.

Vifo vya wazee vimeongezeka sana lishe mbaya, zamani mzee akihisi njaa anakunywa bakuli la maziwa ngando wakati anasubilia mlo kamili.

Kukithiri kwa unywaji gongo na ongezeko la omba omba hili limekuwa tatizo kubwa hadi kwenda likizo tunaogopa vijana wamekata Tamaa.

Jinsi ya kupunguza tatizo.
Kuchangi sana shule za kata ziwe na uwezo wakufaulisha.

Kuongeza ufanisi katika zahanati zetu hasa dawa na mahabara.

Kufufua majosho yetu pamoja na kuwapa sapoti wafugaji.

Kufatana na kukosa mbolea asili tutume watafiti wa mazoa mapya ya matumizi ya chalula na biashara.
Tujalibu kilimo cha alizeti, tuimize kilimo cha kalanga. Tujenge viwanda vya kusindika Katanga na alizeti.

Tuondoe ubinafsi yaani mtu anamajengo na shule nyingi Dar nyumbani zero.

Tuwabane wawakilishi wetu wakishindwa tuwapige chini

Nawakilisha

Kagera Oyeee
 
Sidhani kama kuna mkoa hapa Tanzania na africa in general una junction za nchi nyingi kwa ukaribu kama Kagera......Mji wa Bukoba ulipaswa kuwa kitovu cha biashara lakini pia ktk kilimo kutokana na kuwa na ardhi bora sana...........tatizo la Kagera si siasa bali ubinafsi.......sehemu ndogo kama misenyi kwenye maprofesa zaidi ya 40 ni aibu tupu......tuache kuilaumu serikali while kuna sehemu zenye watu wenye uelewa mpana lakini wameshindwa hata kujenga nyumba tu wanaishia kufikia kwa wazee wao ndio wakumbuke kuweka mikakati ya maendeleo ya maeneo yao pamoja na uwezo mkubwa walionao?
 
Mimi nafikiri kuna mengi ya kujadili , Lakin kutokana na uzoefu wangu na kufanyanao kazi na watu wanaotokea BUKOBA hawa pamoja na majivuno lakin WAKABILA SANA Yaani ukiona mhaya ni Mkuu wa kitengo basi ofisi nzima atajaza wahaya mpaka madereva na wafagiaji na hivyo kihaya ndio inakuwa lugha ya taifa eneo hilo.

Anna Tibaijuka alifanya hivyo alipojuwa pale Nairobi katika afisi ya UN.

Lakin pia wahaya hawa ndio wanaomiliki skuli nyingi za Internatinal, na ukibahatika kutembelea skuli hizo basi kuanzia walinzi, madereva, wahasibu na wakuu wake wa skuli laazima wawe wahaya najiuliza. kwanini wasiweze kuwabeba wenzao?.

Ukija katika kada za wasomi mbalimbali utaona wahaya wapo juu sana wewe pitia UDSM kuna ma prof, Dr's na wahadhwili wengi wahaya na hata vyuo na taasisi mbalimbali za kimataifa wamejaa wao.

Mimi nafikiri tatizo sio kuonewa bali ni kughafirika na kusahau kujenga kwao Bukoba.
Lakin mwisho wa yote ni kale katarbia chao cha akina dada wa kihaya cha maduka ya lejaleja na akina baba kupenda kuchungulia kila sketi ikipita mbele yao nalo ni janga lingine.


Nafikiri kunahitajika ubunifu, ushirikishaji na uhamasishaji lakin pia uzalendo wa kupenda Bukoba kwa wana bukoba. Kwani kuna fursa nyingi sana hususan ukizingatia hapo ni junction ya nchi tatu Burundi, Rwanda na Uganda.

Nyegera waitu.

 
Hayo ni matatizo yenu mnashindana wenyewe kwa wenyewe kuoneshana nani bora zaidi afu mnakuja kulalamika hapa eti serikali na watu wengine hawawapendi hata uandishi wako wa kihaya kihaya tu punguzeni majigambo na muwe tayari kushirikiana na wengine acheni ukabira kuweni kama wachaga au wakuria muone kama hamtafanikiwa wote
 
tatizo la kagera si vitu ni wa watu wa kagera narudia ni watu wa kagera watu wa kagera na matatizo
 
Hayo ni matatizo yenu mnashindana wenyewe kwa wenyewe kuoneshana nani bora zaidi afu mnakuja kulalamika hapa eti serikali na watu wengine hawawapendi hata uandishi wako wa kihaya kihaya tu punguzeni majigambo na muwe tayari kushirikiana na wengine acheni ukabira kuweni kama wachaga au wakuria muone kama hamtafanikiwa wote

Ndio maana nikasema kwa wana-kagera tu, wewe utakuwa na tabia za yule mdudu mwenye rangi za ccm na bia ya safari.
Nyie kwa kushirikiana na watawala mliakikisha mnatupiga vita sana. Hata ukimtaka demu ukimwambia mhaya analula kona bila sababu tukioana sisi kwa sisi mnalalamika eti wabaguzi, tufanyeje!!
 
Ndio maana nikasema kwa wana-kagera tu, wewe utakuwa na tabia za yule mdudu mwenye rangi za ccm na bia ya safari.
Nyie kwa kushirikiana na watawala mliakikisha mnatupiga vita sana. Hata ukimtaka demu ukimwambia mhaya analula kona bila sababu tukioana sisi kwa sisi mnalalamika eti wabaguzi, tufanyeje!!

Ungeenda kutangaza kijijini kwenu bukoba sio hapa
 
Mkoa huu ni kati ya mikoa ilijaliwa sana kuwa na mazingira mazuri ya kilimo, ufugaji, uvuvi, utalii na mazoa ya misitu.

Kagera imekubwa na matatizo mengi sana makubwa hasa janga la vita na ukimwi. Haikuishia hapo, wakazi wa mkoa huu wamepigwa sana vita vya ukabira na chuki nyingi sana ikatufanya kuwepo mdororo wa kielimu. Ilifikia wakati unajiandikisha majina yote bila kuweka la ukoo, ili kuwepa panga la wasahahihisha mitiani.

Janga lingine upungufu wa chakula bora chenye protini hasa mazoa ya samaki, maziwa na Nyama.
Tujikumbushe, zamani palikuwepo samaki aina mbalimbali wenye virutubisho vingi hadi sasa hata majina yamesahaulika tukaletewa samaki mla samaki kawamaliza wote hizi fitina.
Serikali au kwa makusudi au bahati mbaya ilihakikisha haipeleki ruzuku kwa wakulima wa kahawa, wala haipeleki madawa kwenye majosho. Ng'ombe walikufa sana kutokana na magonjwa mengi, kupe n.k
Kumbuka kuwa ng'ombe ilikuwa nguzo Kuu kiuchumi na kijamii. Tulipata mbolea ya kutosha hadi tulikuwa tunagawa bure, tulikunywa maziwa sana, tulikuwa na Nyama ya kutosha hadi ilikuwa haiuuzwi. Ngozi zilikuwa na matumizi mengi hata kwa matumizi ya mboga (okuoka ekikoba ) migomba ilistawi vizuri kutegemea mbolea hii ya asili.

Ufugaji ulitoa ajira nyingi kwa vijana japakuwa kulipana ulikuwa unapewa mifugo badala ya fedha.

Miti mingi ya mihumula ilistawi sana kutokana na mbolea na ilikuwa rafiki wa mazingira.

Hasara tulizozipata baada ya majanga haya
Magonjwa mengi nyemelezi na afya mbovu. Siku hizi uwezi kuoana hata wawindaji kwani hakuna mwenye nguvu kufukuza Nyama.

Kusuka kiwango cha ufaulu.
Kutokana na kukosa Milo kamili hivi sasa hatusifiki tena kuongoza kiakili labda walipkimbia majanga haya.

Wivu majungu kuongezeka kutokana na kupishana sana kati ya aliyenacho na asiyenacho.

Vifo vya wazee vimeongezeka sana lishe mbaya, zamani mzee akihisi njaa anakunywa bakuli la maziwa ngando wakati anasubilia mlo kamili.

Kukithiri kwa unywaji gongo na ongezeko la omba omba hili limekuwa tatizo kubwa hadi kwenda likizo tunaogopa vijana wamekata Tamaa.

Jinsi ya kupunguza tatizo.
Kuchangi sana shule za kata ziwe na uwezo wakufaulisha.

Kuongeza ufanisi katika zahanati zetu hasa dawa na mahabara.

Kufufua majosho yetu pamoja na kuwapa sapoti wafugaji.

Kufatana na kukosa mbolea asili tutume watafiti wa mazoa mapya ya matumizi ya chalula na biashara.
Tujalibu kilimo cha alizeti, tuimize kilimo cha kalanga. Tujenge viwanda vya kusindika Katanga na alizeti.

Tuondoe ubinafsi yaani mtu anamajengo na shule nyingi Dar nyumbani zero.

Tuwabane wawakilishi wetu wakishindwa tuwapige chini

Nawakilisha

Kagera Oyeee

Watu wa home mmezidi kukumbatia ccm nalo ni tatizo
 
Hayo ni matatizo yenu mnashindana wenyewe kwa wenyewe kuoneshana nani bora zaidi afu mnakuja kulalamika hapa eti serikali na watu wengine hawawapendi hata uandishi wako wa kihaya kihaya tu punguzeni majigambo na muwe tayari kushirikiana na wengine acheni ukabira kuweni kama wachaga au wakuria muone kama hamtafanikiwa wote

Acha ujinga hizo ni changamoto tu tunajadili jinsi ya kuzitatua hata marekani wana changamoto zao! nani kakwambia wahaya hawana mafanikio? km suala la ubinafsi mi naona kwasasa wenzetu chaggas wanaongoza ukimkuta ukikuta boss mchagga bas ofisi nzima wachagga! mlisikia pia issue ya katibu mkuu kiongozi alivyokuwa akilazimisha kabila lake wajae wizara ya maliasili na utalii! kwahiyo msikariri hayo ni mambo ya kizaman kabla makabila hayajasomesha watoto ndo maana ofisi nyingi zilikuwa na wahaya.
 
Watu wa home mmezidi kukumbatia ccm nalo ni tatizo

Wahaya wanakumbatia CCM NA BAYA ZAIDI WANANUKA MIDOMO . hapo ulipo kama kuna mhaya mwambie akugeukie. utasikia harufu ya mdomoni kama choo cha stendi ya Musoma
 
Wahaya wanakumbatia CCM NA BAYA ZAIDI WANANUKA MIDOMO . hapo ulipo kama kuna mhaya mwambie akugeukie. utasikia harufu ya mdomoni kama choo cha stendi ya Musoma
Kama ni mtani wetu poa lakini kama sio mtani akilizi zako ni za kimaiti maiti uwezi kumtukana mwenzio hivyo tatizo mna wivu. Kwani usituachie wenyewe unatafuta mkunaji?
 
Kama ni mtani wetu poa lakini kama sio mtani akilizi zako ni za kimaiti maiti uwezi kumtukana mwenzio hivyo tatizo mna wivu. Kwani usituachie wenyewe unatafuta mkunaji?

Wewe mwenyewe unajua ukifungua domo lako ni uvundo mtupu. Dawa za meno zipo pigeni miswaki kitaalum sio juu juu kama katereroo .
 
Wewe mwenyewe unajua ukifungua domo lako ni uvundo mtupu. Dawa za meno zipo pigeni miswaki kitaalum sio juu juu kama katereroo .
Huna lako jambo, najua utakuwa umeathirika na vita vya kikabila , walikuteka na kukupumulia ndio maana kila saa unahisi kunukiwa kinyesi
 
wazo la mtoa mada safi sana, lakini baadhi ya wachangiaji.... labda nyerere arudi tuanze EWW, maana hii ya drs la saba haijasaidia. changia mawazo ya kutatua changamoto si matusi.
 
wazo la mtoa mada safi sana, lakini baadhi ya wachangiaji.... labda nyerere arudi tuanze EWW, maana hii ya drs la saba haijasaidia. changia mawazo ya kutatua changamoto si matusi.

Always familia zenye akili huwa zinakaa na kujadili matatizo ya familia na jinsi ya kuyatatua huko ndo kuendelea,endelea kuleta mawazo msiogope wajinga wachache wasiojitambua watakaa kusema wahaya wanajisikia sisi tunasonga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom