Recent content by Natakakutulia

  1. N

    Swali la Wiki: Uzushi gani maarufu ambao umetawala mitazamo ya watu kwa muda mrefu?

    Kwamba Tanzania kuna mihimili 3 ya Serikali na kila muhimili unajitegemea
  2. N

    Swali la Wiki: Uzushi gani maarufu ambao umetawala mitazamo ya watu kwa muda mrefu?

    CCM inaweza kushinda uchaguzi bila wizi wa kura na kuhujumu zoezi zima la uchaguzi
  3. N

    Mkurugenzi Ubungo unayajua ya Shule ya Upendo

    Hii shule ya Upendo ina mambo ya ajabu sana, walimu wanalazimisha watoto wa madarasa yote wasome tuition kwa lazima tena wanawakagua hela walizopewa za kutumia wanachukua wanafundishia tution, kwa lazima. Pia wanalazimisha watoto wakafanye mitihani jumamosi lengo ni wao wapate hela na...
  4. N

    Nifanye nini kufuta kumbukumbu za matukio mabaya kwa watoto wangu?

    Ni kweli kuna sababu. Sababu ni kuwa alikuwa ana mwanamke mwingine ambaye alikuwa anataka kuishi naye hivyo alikuwa ananifukuza niondoke aishi na huyo mwanamke. Mwanaume ninayeishi naye sikuwa naye kipindi cha ndoa nilimpata baada ya kuachika. Soma nyuzi za nyuma utakuja kukutana na kioamde...
  5. N

    Nifanye nini kufuta kumbukumbu za matukio mabaya kwa watoto wangu?

    Salaam wakuu Miaka michache iliyopita nilipitia mambo mengi kwenye ndoa ambayo nikiri kuwa hayakuwa mazuri kwa ukuaji wa watoto wetu kisaikolojia. Watoto walishuhudia nikipigwa mara nyingi sana, nikitukanwa au kusemwa vibaya. Na hata kuna wakati ugomvi ukitokea chumbani walikuwa wanakuja...
  6. N

    Serikali inayowaza kumnyonya Mtanzania kwa tozo haitawaza kupunguza kodi kwenye bidhaa ili kupunguza mfumuko wa bei

    Serikali ya CCM inayoongozwa na Raisi Samia haiwezi kufikiria cha kufanya angalau kupunguza uchungu anaopitia mwananchi kwa sasa wa kupanda kwa bidhaa karibu zote nchini. Serikali hii inachowaza ni kupata pesa ili wao waendelee kunufaika ndii maana wamelundika tozo na kodi za kila aina, zingine...
  7. N

    Umewahi kupanga hit & run kwa binti lakini ikawa hit & trapped?

    Asante, nishayafuta. Niliandika. Niliandika uzi huu nimezama kwenye penzi la mjeda Nimezama kwenye penzi la mjeda, sioni sisikii
  8. N

    Umewahi kupanga hit & run kwa binti lakini ikawa hit & trapped?

    Nimekumbuka mbali, niliwahi vurugwa na mahusiano ya ndoa mpaka yakavunjika. Nikawa nasema sitaki tena mwanaume mimi bora niwe single. Baada ya mwaka mmoja wa kukaa single bila kuwa na mtu niko mwenyewe na wanangu najiona nina amani na furaha yaani siwazi kuhusu mwanaume wala nini. Akatokea...
  9. N

    Lita ya mafuta ya kula imefika Tsh elfu 10. Rais Samia ajulishwe na aingilie kati

    Mbezi Luis, korie ni 5000 kwa lita. Nimenunua muda si mrefu kuhusu alizeti sijui
Back
Top Bottom