Recent content by Natafuta kiki

  1. Natafuta kiki

    Mwenge: Ni Mwanga Tu Au Kuna Uvumba Fulani Unafukizwa Ili Kupumbaza Watanzania? Is it Justified?.

    kipindi hicho paschali kabla hajalamba asali ulikuwa na akili kishenzi,😀😀😀
  2. Natafuta kiki

    Mnahubiri nishati safi halafu hamshushi gharama za gesi wala umeme, watu wapikie upepo?

    Kwenye maswala kama haya tuko pamoja sana sio kule Iran mkuu sisi sio Wairan wala wayahudi sisi ni watanganyika.
  3. Natafuta kiki

    DOKEZO Mkurugenzi na Afisa Elimu Kibaha mji: Wamewasimamisha kazi Walimu Watano wa Shule ya Mwambisi Sekondari

    Moja kwa moja niende kwenye mada tajwa hapo juu. Mkurugezi kwa kushirikiana na afisa elimu halmashauri ya Kibaha mji wamewasimamisha kazi walimu wapatao watano wa shule moja ya Mwambisi sekondari sekondari iliyopo kata ya Kongowe halmshauri ya mji kibaha kwa sababu ambazo hazijawekwa wazi...
  4. Natafuta kiki

    Mchanga unaotumika wakati wa mwenge

    Ninataka kujua hivi: Wakati wa kukimbiza mwenge utakuta sehemu wanayofikia lazima watenge chumba maalum cha kuhifadhia mchanga. Wakiwa wanaendelea na tukio la mwenge sehemu husika utawaona maaskari wawili au watatu wanaenda kwenye kile chumba chenye mchanga Je ni nini huwa kinafanyika huko
  5. Natafuta kiki

    Tundu Lissu aendelea kushambuliwa mitaani kwa kauli zake za kibaguzi na chuki

    Kwa ushauri wa bure tu kaa kimya maana ufahamu ulionao ni asilimia 0.02 ya akili aliyonayo Tundu Lisu
  6. Natafuta kiki

    Nimeota yanga Leo anafungwa na mtibwa goli moja bila

    Nahisi mpaka muda huu umeaka na ushajinyea tayari
  7. Natafuta kiki

    DOKEZO Walimu Shule ya Mpanda Day wanalazimisha wazazi tulipe hela ya ‘twisheni’ wakati wa likizo

    Hivi nyie mtaacha ujinga lini? Anafundishwa mwanao kwa maslahi ya familia yako unakuja kulialia humu. Watoto wa viongozi wanaosoma shule za St kunani pamoja na mamilioni ya ada wanayolipa lakini wakiambiwa wator mchango huwa wanaotoa chap. Huku kwenye shule zetu za St mbwiga unaambiwa elimu...
  8. Natafuta kiki

    Rais Samia ni jasiri mpambanaji

    Lukas mbwa wa shamba
  9. Natafuta kiki

    Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa?

    ''@Nakushauri tuu Mama, pamoja na mema yote DPW waliokutendea during Expo Dubai, and after, kubaliana tuu na ushauri wa TEC, huu ni ushauri Mungu, hili jambo la DPW achana nalo kwa sasa, kisha anzisha upya mchakato wa kumpata a strategic investor wa Bandari yetu kwa kufuata a due process, hakuna...
  10. Natafuta kiki

    Uendeshaji wa Bandari: Wabunge Wataka Rais Samia asirudi nyuma

    Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa 1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO) 2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za...
  11. Natafuta kiki

    Hivi kuna nchi inaiweza Iran kijeshi kwa sasa?

    Mkuu achana na huko kwa waajemi na wayahudi hao wanajitambua njoo huku kwa mazwazwa ambao bandari inauzwa yapo kimya tu
  12. Natafuta kiki

    DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)

    Halafu kuna mimbuzi inaunga mkono hilo Walahi bora tuandamane tu Samia Out
Back
Top Bottom