Professional sio ishu, ishu ni VP unauwez wa kudeliver material kwa mwanafunz kuna waalim kibao na professional zao wanafundisha na wanafunz hawawaelew kazi yao kuongeo na ubao tu hawafamik binafc nlishawah kufindishw na walim haw ila wk walim sio profession education ila wanaujuz mzur wa...
Me naona elimu imeshakufa kwa sababu ya viongoz kuichanganya na siasa mwanang kusoma bac kwa sasa ni bora achunge ngombe watamseidia baadae kuliko kuwan na maband akaambukia patupu
Naomba munisaidie wadae mm nmechaguliw na company fulan inaitwa relen consultant kwenda kufanya interview tareh 19 mwezi huu ila tatizo mmeambiw kweny SMS kuwa nitum sh, 20000 kupitia aetel money kwa ajil ya break fast and specialist allowance hivi huu sio wizi au kunaukweli wowote juu ya hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.